Upo sahihiFA yao ilipata barua ya Ahly, haikuahirisha. FA yetu ilipata barua ya Simba, ikaahirisha.
NB: Simba isingeenda uwanjani kwenye mechi ambayo imeshaahirishwa, hakuna waamuzi, kamisaa wala walinzi wa usalama
Kwa Mpira tuliouona wa Simba na TMA Jana, Kweli Simba alikuwa na haki ya kufanya figisu za kukimbia derby!Hii ndio mechi Sasa
Sio unakutana na tma
Umeona ehhHata ingekua mimi ningekimbia
Wangekula 8imba5imba
Hata leo sijaona timu ya kuizuia Simba kuichapaKwa Mpira tuliouona wa Simba na TMA Jana, Kweli Simba alikuwa na haki ya kufanya figisu za kukimbia derby!
Upo sahihi ๐ธKwa Mpira tuliouona wa Simba na TMA Jana, Kweli Simba alikuwa na haki ya kufanya figisu za kukimbia derby!
Mara ya mwisho wewe kumfunga Yanga ni lini mwanetu ๐ ๐Simba alimfunga coastal union 3 kwa 0 tena akiweka kikosi B.