Yanga sc 3-1 Ruvu shooting | ligi kuu | Benjamin Mkapa

Nimeona huu ujinga wa Simba kushangilia clean sheet badala ya kushangilia point tatu. Unayeruhusu goli huku amepata alama tatu ni mbora zaidi kuliko aliyetoa sare ya bila kufungana
Ndio uwezo wetu Kwa Sasa🤸.
 
Mbeleko fc

Ndio maana hata akibebwa vipi kimataifa habebeki.
 
Bwire alitangulizwa na Baiskeli ya Miti!!!!!!! Hahahaaaa
 
Tunalisubiria kubwa jinga KOLO iyo kesho linavyokufa kwa Mkapa,NI UZUNI KWAKWELI [emoji22][emoji22][emoji22]
 
Sasa tuambie habari ya Mikia fc, aliyekuwa akiwabeba ni miquisoni na chamasoni au mini kimebadilika hapo kwenu.
Kwahiyo umekubali ubora na mafanikio ya Simba yalitokana na uwezo wa wachezaji wao ndani ya uwanja na sio kimagumashi kama gongowazi wanavyojaribu kufanya chini ya GSM?
 
Yanga tumeambiwa tusiwe na viburi, kwahyo hatuna kelele nyingi

Another 3+Points, 5 matches with 15 Points and top of the table

NB:Kesho Makolo wanacheza na Namungo, kuna harufu ya kupoteza tena point 2 inanukia

Wanangu wa Namungo naomba sare tu inatosha
 
Kwahiyo umekubali ubora na mafanikio ya Simba yalitokana na uwezo wa wachezaji wao ndani ya uwanja na sio kimagumashi kama gongowazi wanavyojaribu kufanya chini ya GSM?
Ujumbe ni kuwa mafanikio yenu, mlibebwa na chama na miquisoni pekee, au hata aliyekuwamzungu wenu manara na mwenyekiti tuliowachukulia walikuwa na mchango, kwenye mafanikio yenu?
 
Makolo au makorokocho aka mikia fc.
 
simba tunalo la kujifunza kutoka yanga.
kama hamtoona basi kamwe hamto badilika.
Swali ni je,wachezaji wa Simba na benchi lao la ufundi kuna jambo la kujifunza wameliona kutoka Yanga?

Sisi mashabiki wa Simba wala hatujapata ugumu kuona na kujifunza kutoka Utopoloni.Yanga wanacheza kwa spirit, wanatengeneza nafasi na wanazitumia kufunga,wanahamu sana ya kufunga kiasi kwamba mchezaji akikosa nafasi ya wazi ya kufunga anajuta kweli kweli (hali hii ni tofauti kwa Mugalu wa Simba,ambaye hutabasamu baada ya kukosa goli na kuendelea kutafuna jojo kama mbuzi anakula michongoma,kana kwamba hana cha kujutia.How indifferent is Mugalu and his colleagues!). Sisi mashabiki tunaumia ila yale masenge yenyewe yanachukulia poa tu.
 
Makolo msijisahaulishe kesho mnacheza na Namungo na sio kama wale watoto wa Coastal Union
 
Nimeona huu ujinga wa Simba kushangilia clean sheet badala ya kushangilia point tatu. Unayeruhusu goli huku amepata alama tatu ni mbora zaidi kuliko aliyetoa sare ya bila kufungana
Nyinyi Wana wa Eymel, cleansheet ni moja kati ya metrics za performance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…