ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Katika NBC Premier League, leo tunafunga mwaka 2021 kwa mechi baina ya vinara Yanga Sc dhidi ya Dodoma Jiji FC . Yanga wanataka alama tatu ili waendelee kujikita kileleni mwa msimamo wakati Dodoma Jiji nao wanazitaka alama tatu ili wapanda mpaka nafasi ya tatu.
Mechi hi itapigwa katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia saa 1:00 usiku
Je, ni wananchi ama walima zabibu nani kuondoka na alama tatu?
Tuwe hapa Kwa Dakika 90
=======
00' Kabumbu linaanza dimba la Mkapa
01' Saidoo anaachia mkwaju mkali kutoka nje ya 18, mlinda mlango wa Dodoma anaukamata barabara
03' Yanga inapata kona kuelekea Dodoma Jiji, inasababisha madhara kwa mlinda mlango Hussein Masalanga wa Dodoma jiji baada ya kugongana na Fiston Mayele
06' Mayele anampita mlinda mlango wa Dodoma lakini pasi yake inashindwa kuleta matokeo. Yanga inatawala mwanzo wa mchezo.
08' Fei Toto anamuwekea pasi nzuri Fiston Mayele, mlinda mlango anafanikiwa kupangua shambulizi.
13' Dodoma Jiji wanaamka na wanajaribu kulizinga lango la Yanga
15’ Bado ni Bila bila
28' Yanga wanapiga kona ya sita, Mayele anapiga kichwa kinapaa juu ya goli
31' Almanusura Fiston Mayele aandike bao la kwanza, Masalanga anafanya kazi ya ziada langoni.
38' Mayeleee, Masalanga anauweka tena mikononi
40' Dodoma wanajaribu lakini wanashindwa
41' ⚽ Mayeleeeeeeee, pasi maridadi kutoka kwa Saidoo inamkuta Fiston na kuiandikia Yanga bao la kwanza
45+2' Mpira unaenda mapumziko, Yanga SC VS Dodoma Jiji
48' Fei Toto anapata nafasi lakini anashindwa kuitumia vizuri
54' Dodoma jiji wanafanya mabadiliko mawili kwa mkupuo
56' ⚽Jesus Molokoooo, akipokea mpira mrefu kutoka kwa Bangala na kuupanyeza langoni kwa Dodoma jiji Masalanga akishindwa cha kufanya
60' Kadi ya njano kwa Nkosi baada ya kumchezea ndivyo sivyo mchezaji wa Yanga
61' Saidoo anapiga mkwaju wa adhabu ndogo na kufika lango la Dodoma jiji, Masalanga anapangua
62' Mabadiliko tena Dodoma jiji, Karihe anaingia kuchukua nafasi ya Jamal
69' ⚽Mlinda mlango wa Dodoma jiji anajifunga katika harakati za kuokoa mpira usimfikie Fiston Mayele, krosi maridhawa ya Fei Toto
72' Makambo anachukua nafasi ya Fiston Mayele anayeonekana kuchechemea
74' Mukoko anaingia kuchukua nafasi ya Feisal Salum
82' ⚽ Dkt. Aucho anaweka chuma cha nne
84' Yanga inafanya sub za mkupuo akiwemo Sure boy
90+3' Mpira uanatamatika uwanja wa Benjamin Mkapa, Yanga SC 4-0 Dodoma Jiji
Kocha Mbwana Makata wa Dodoma Jiji amesema leo kulikuwa na makosa mengi kwa timu yao ikiwemo eneo la kiungo yaliwaruhusu Yanga kucheza na yamewagharimu.
Mechi hi itapigwa katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia saa 1:00 usiku
Je, ni wananchi ama walima zabibu nani kuondoka na alama tatu?
Tuwe hapa Kwa Dakika 90
=======
00' Kabumbu linaanza dimba la Mkapa
01' Saidoo anaachia mkwaju mkali kutoka nje ya 18, mlinda mlango wa Dodoma anaukamata barabara
03' Yanga inapata kona kuelekea Dodoma Jiji, inasababisha madhara kwa mlinda mlango Hussein Masalanga wa Dodoma jiji baada ya kugongana na Fiston Mayele
06' Mayele anampita mlinda mlango wa Dodoma lakini pasi yake inashindwa kuleta matokeo. Yanga inatawala mwanzo wa mchezo.
08' Fei Toto anamuwekea pasi nzuri Fiston Mayele, mlinda mlango anafanikiwa kupangua shambulizi.
13' Dodoma Jiji wanaamka na wanajaribu kulizinga lango la Yanga
15’ Bado ni Bila bila
28' Yanga wanapiga kona ya sita, Mayele anapiga kichwa kinapaa juu ya goli
31' Almanusura Fiston Mayele aandike bao la kwanza, Masalanga anafanya kazi ya ziada langoni.
38' Mayeleee, Masalanga anauweka tena mikononi
40' Dodoma wanajaribu lakini wanashindwa
41' ⚽ Mayeleeeeeeee, pasi maridadi kutoka kwa Saidoo inamkuta Fiston na kuiandikia Yanga bao la kwanza
45+2' Mpira unaenda mapumziko, Yanga SC VS Dodoma Jiji
48' Fei Toto anapata nafasi lakini anashindwa kuitumia vizuri
54' Dodoma jiji wanafanya mabadiliko mawili kwa mkupuo
56' ⚽Jesus Molokoooo, akipokea mpira mrefu kutoka kwa Bangala na kuupanyeza langoni kwa Dodoma jiji Masalanga akishindwa cha kufanya
60' Kadi ya njano kwa Nkosi baada ya kumchezea ndivyo sivyo mchezaji wa Yanga
61' Saidoo anapiga mkwaju wa adhabu ndogo na kufika lango la Dodoma jiji, Masalanga anapangua
62' Mabadiliko tena Dodoma jiji, Karihe anaingia kuchukua nafasi ya Jamal
69' ⚽Mlinda mlango wa Dodoma jiji anajifunga katika harakati za kuokoa mpira usimfikie Fiston Mayele, krosi maridhawa ya Fei Toto
72' Makambo anachukua nafasi ya Fiston Mayele anayeonekana kuchechemea
74' Mukoko anaingia kuchukua nafasi ya Feisal Salum
82' ⚽ Dkt. Aucho anaweka chuma cha nne
84' Yanga inafanya sub za mkupuo akiwemo Sure boy
90+3' Mpira uanatamatika uwanja wa Benjamin Mkapa, Yanga SC 4-0 Dodoma Jiji
Kocha Mbwana Makata wa Dodoma Jiji amesema leo kulikuwa na makosa mengi kwa timu yao ikiwemo eneo la kiungo yaliwaruhusu Yanga kucheza na yamewagharimu.