Uzuri ni kwamba hata nyie ukweli mnaujua.
Huu mpira hauwezi kumalizika bila penalty.Wanatamani Yanga Tufungwe Lakini Kibaya Haiwezekani [emoji23][emoji23][emoji23]
Penalty Ni Sehemu Ya Mchezo Mmoja Wapo Akifanya Makosa Ndani Ya Box Penalty Ni Lazima Tu.
Amemaanisha penalty ya mchongo.Penalty Ni Sehemu Ya Mchezo Mmoja Wapo Akifanya Makosa Ndani Ya Box Penalty Ni Lazima Tu.
Yanga Hakuna Penalty Ya Mchongo Kwetu Tunashinda Kwa Uwezo Mzee..Ame maanisha penalty ya mchongo.
Mpira hauchezwi chumbani kaka!Yanga Hakuna Penalty Ya Mchongo Kwetu Tunashinda Kwa Uwezo Mzee..
Tulia uone Basi Tunachofanya Leo.Mpira hauchezwi chumbani kaka!
Ndugu yangu Mama Leo analihutubia taifa...usisahau kuangalia au kusikilizayaani kipa kasajiliwa juzi leo anapangwa. hivi vitu tulikuwa tunafanya ndondo