Wakuu habari zenu,
Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu,
Mimi kwa mtazamo wangu tunamuhitaji bado Jerry Muro awe msemaji wetu la sivyo tutaendelea kunyanyaswa kwa kauli za wakina Haji Manara.
Mpaka sasa sizani kama tuna msemaji wa Timu, maana kila siku kimya tuu yaani haiwezekani. Mechi ya juzi na watani wetu Simba tulitawaliwa vikali kuanzia kwenye mitandao mpaka majukwaani.
Mashabiki pia tunahitaji msemaji atakae amsha morali yetu sisi mashabiki.
Ni hayo tu kwa wana YANGA.
Karibuni ili tupaze sauti zetu.
***YANGA SC DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.***
Sent using
Jamii Forums mobile app