Yanga SC bado tunamuhitaji Jerry Muro

Yanga SC bado tunamuhitaji Jerry Muro

Manara anatamani kitu km iko kitokee,maana ss hv anapayuka na hamna wa kumjibu,d 10 yupo kidigital zaidi
 
Wakuu habari zenu,

Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu,

Mimi kwa mtazamo wangu tunamuhitaji bado Jerry Muro awe msemaji wetu la sivyo tutaendelea kunyanyaswa kwa kauli za wakina Haji Manara.

Mpaka sasa sizani kama tuna msemaji wa Timu, maana kila siku kimya tuu yaani haiwezekani. Mechi ya juzi na watani wetu Simba tulitawaliwa vikali kuanzia kwenye mitandao mpaka majukwaani.

Mashabiki pia tunahitaji msemaji atakae amsha morali yetu sisi mashabiki.

Ni hayo tu kwa wana YANGA.

Karibuni ili tupaze sauti zetu.

***YANGA SC DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.***

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kakutuma Muambie hatumtaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbwembwe majigambo ni mambo ya timu za mitaani zisizo jiamini.
Propaganda nyingiii uongo na visingizio kila timu inapofanya vibaya.

Binafsi msemaji kma Dismas Ten ndo anafaa kufanya kazi Yanga sio maneno meeengi yasio ya kiufundi yanayopaswa kusemwa na mashabiki yanasemwa na msemaji wa klabu.
 
Back
Top Bottom