Yanga SC bwana yaani Beki huyu Mbovu Gift Fred wa Uganda ni wa Kumsajili kwa Tsh Milioni 115 Kweli?

Yanga SC bwana yaani Beki huyu Mbovu Gift Fred wa Uganda ni wa Kumsajili kwa Tsh Milioni 115 Kweli?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani ni Free Agent baada ya Mkataba wake Kuisha huko SC Villa na aliyekuwa Kocha Wenu Micho Kawadanganyeni mumchukue mmeingia Mkenge kweli na Kumsajili.

Uganda ni my Second Home na nina Rafiki zangu wengi sana huko na kila ninayemuulizia kuhusu Uwezo wa huyu Mchezaji jibu la haraka ninalopewa ni kuwa ni mbovu na hata Mimi GENTAMIYCINE nikitanya Mazoezi na kwa Kipaji changu cha Asili cha Mpira nitakuwa mzuri kuliko Yeye.

Simba SC ya Msimu huu mtaikoma!!!
 
Yaani ni Free Agent baada ya Mkataba wake Kuisha huko SC Villa na aliyekuwa Kocha Wenu Micho Kawadanganyeni mumchukue mmeingia Mkenge kweli na Kumsajili.

Uganda ni my Second Home na nina Rafiki zangu wengi sana huko na kila ninayemuulizia kuhusu Uwezo wa huyu Mchezaji jibu la haraka ninalopewa ni kuwa ni mbovu na hata Mimi GENTAMIYCINE nikitanya Mazoezi na kwa Kipaji changu cha Asili cha Mpira nitakuwa mzuri kuliko Yeye.

Simba SC ya Msimu huu mtaikoma!!!
GSM kupitia chawa wake Hers wanaweka magilini kwenye manunuz ili waonekane wamewekeza pesa mingi utopolon
 
Yaani ni Free Agent baada ya Mkataba wake Kuisha huko SC Villa na aliyekuwa Kocha Wenu Micho Kawadanganyeni mumchukue mmeingia Mkenge kweli na Kumsajili.

Uganda ni my Second Home na nina Rafiki zangu wengi sana huko na kila ninayemuulizia kuhusu Uwezo wa huyu Mchezaji jibu la haraka ninalopewa ni kuwa ni mbovu na hata Mimi GENTAMIYCINE nikitanya Mazoezi na kwa Kipaji changu cha Asili cha Mpira nitakuwa mzuri kuliko Yeye.

Simba SC ya Msimu huu mtaikoma!!!
tupo wengine humu uganda ni second home pia,kuanzia katwee,kisenyi,lubaga,old kampala huko kote tumekaa pia tuna wana kibao nao wamenambia huyo mwamba kitasa hakuna...genda ssebo
 
Yaani ni Free Agent baada ya Mkataba wake Kuisha huko SC Villa na aliyekuwa Kocha Wenu Micho Kawadanganyeni mumchukue mmeingia Mkenge kweli na Kumsajili.

Uganda ni my Second Home na nina Rafiki zangu wengi sana huko na kila ninayemuulizia kuhusu Uwezo wa huyu Mchezaji jibu la haraka ninalopewa ni kuwa ni mbovu na hata Mimi GENTAMIYCINE nikitanya Mazoezi na kwa Kipaji changu cha Asili cha Mpira nitakuwa mzuri kuliko Yeye.

Simba SC ya Msimu huu mtaikoma!!!
Mtu mfupi mwenye kitambi akili utoe wapi
IMG-20220821-WA0011.jpg
 
Umetoka kutuambia Avic kuna njaa hizo pesa zimetoka wapi tena
 
Yaani ni Free Agent baada ya Mkataba wake Kuisha huko SC Villa na aliyekuwa Kocha Wenu Micho Kawadanganyeni mumchukue mmeingia Mkenge kweli na Kumsajili.

Uganda ni my Second Home na nina Rafiki zangu wengi sana huko na kila ninayemuulizia kuhusu Uwezo wa huyu Mchezaji jibu la haraka ninalopewa ni kuwa ni mbovu na hata Mimi GENTAMIYCINE nikitanya Mazoezi na kwa Kipaji changu cha Asili cha Mpira nitakuwa mzuri kuliko Yeye.

Simba SC ya Msimu huu mtaikoma!!!
kumbe wamemsajili?wangebaki na doumbia tu

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Yaani ni Free Agent baada ya Mkataba wake Kuisha huko SC Villa na aliyekuwa Kocha Wenu Micho Kawadanganyeni mumchukue mmeingia Mkenge kweli na Kumsajili.

Uganda ni my Second Home na nina Rafiki zangu wengi sana huko na kila ninayemuulizia kuhusu Uwezo wa huyu Mchezaji jibu la haraka ninalopewa ni kuwa ni mbovu na hata Mimi GENTAMIYCINE nikitanya Mazoezi na kwa Kipaji changu cha Asili cha Mpira nitakuwa mzuri kuliko Yeye.

Simba SC ya Msimu huu mtaikoma!!!
Simba yenyewe imesajili vimeo tupu. Msimu ujao simba ispokuwa ya 4 au 5 nahamia burundi
 
Back
Top Bottom