Yanga SC inabebwa, kwa nini Azam wacheze kiporo chao leo ila Yanga hawajacheza?

Yanga SC inabebwa, kwa nini Azam wacheze kiporo chao leo ila Yanga hawajacheza?

Mikia kila siku kulialia
Tena wanalia lia mpaka wanatia huruma, kuna kipindi mashabiki wao walikuwa wanasema kuwa viporo wao haviwahusu sasa mbona hawaachi kupiga midomo????? Mara ooooh tunataka kutoa tamko, mara ooooh hatuchezi mechi mpaka yanga na azam wamalize viporo. Hawa mikia sijui vipi!!!! Mbona kagera suger na yenyewe imecheza game nyingi kuliko yanga na azam lakini hawalii lii kama Mikia!!!!!
 
Kila mara huwa nasema bila kuing'oa Yanga hapo juu,tutaendelea kichwa cha mwendawazimu.Yanga inaua mpira wa Tanzania,angalia kadi nyekundu zonavyotolewa ovyo pindi yanga akicheza na timu pinzani.

Ukisema Yanga peke yake utakuwa unakosea, sema Yanga na Simbwa.
 
Mbumbumbu fc.....ni mambumbumbu kwelikweli.....post za mbunye mbunye tu
 
Back
Top Bottom