Yanga SC kushuka daraja mwakani!

Kwenye list ya mabillionea wa africa Manji anashika nafasi ya ngapi?
au ndio hapendi kujionyesha.
 

Hujui biashara mkuu acha kupiga soga!
matajiri wengi hawatumii pesa kutoka mifukoni mwao kwaajiri ya kufanya uwekezaji.
 
Ok tusubirie tutaona
 
Kwa kikosi hicho lzm mfungwe tu

Papy ni kiungo mkabaji na mchezeshaji ni pure namba 6 mkimpa 8 ni kumtesa ila timu itakuwa slow kwa kuwa hana speed, mkude ni kiungo mchezeshaji hana uwezo wa kukaba sana na hana speed, niyonzima ni kiungo mchezeshaji hana uwezo wa kukaba na hana speed kwa hiyo itakuwa ni timu ya kizee maana haitakuwa na speed

Mkikutana na timu yenye speed mtafungwa sana
 
Sasa yanga ikishuka daraja utafaidika nini MKUU

Tunajua mlifanya figisu kwa kumtumia MKUU wa mkoa kummaliza jamaa

Sasa jiandaeni kumchangia si muda mrefu maana jamaa kashinda kesi

Vikaragosi nyie
 
wewe una akili sana, Gents n'a Manara akilimu zao zinafanana kumbe ? Sikulijua hilo.
Ila sio kikosi cha kushondana afrika hiki. Hakuna haja ya kuchukua wa yanga na umri umeenda. Uvuke boda na kuchukua majembe ya kushindana afrika.
 
mwenyekiti wa bodi ya ligi simba au hujui ndio makamu mwenyekiti wa yanga we jamaa acha upotoshaji
 

Haya maandishi niyasome kikarismatiki au ninayasomesome tu....!
 
adui yako mwombee njaa....yanga mpigieni magoti mzee Mengi aje kuwaokoa....
Mengi Hana ufisadi?? Huwa hakwepi Kodi kweli?? Mnataka kumtia matatani mzee wa watu!

Simba tutatumia njia zote za kimafia kuhakikisha hi yanga inakufa in natural death au ishuke daraja kabsa!
 
Hayo tutafanya mwakani, mission ya mwaka huu NI kuiua yanga kabsa, ikiwezeka tuinunue hiyo alafu tuishushe daraja kabsa, shenzy, huu NI umafiaaa!
 
Ila sio kikosi cha kushindana afrika hiki. Hakuna haja ya kuchukua wa yanga na umri umeenda. TUvuke boda na kuchukua majembe ya kushindana afrika.
Hawa tunawachukua ili kuiua yanga to basi ili mwakani washuke daraja! Huu NI umafiaaa
 


Hata Kikosi chetu cha Msimu huu kilichomaliza Ligi na kuwa Mabingwa mlikikosoa na kukiita cha ' Kihenga ' je matokeo yake yakawaje? Nasubiri majibu yangu tafadhali.
 
Kwa icho kikosi una maanisha kichuya hana nafasi tena ?
 
Kwa icho kikosi una maanisha kichuya hana nafasi tena ?

Kwani Mchezaji akianzia ' Sub ' huwa anakua mbaya? Hivi yule Mchezaji wa zamani wa Manchester United Ole Guna Solkjier alikuwa akianza au alikuwa akiingia akitokea Benchini? Na je alipokuwa akiingia kutoka Benchi alikuwa akifanya nini? Tatizo lenu msiojua mpira mnadhani Mchezaji kukaa au kuingia akitokea Benchi / Sub ni mbovu. Hebu jifunzeni ' modern football and style of play ' inavyokuwa na acheni Kukariri kama Uchezaji wa kizamani mliouzoea tafadhali.
 
Mchezaj anapo anzia sub ina maanisha yey ni mbadala tu wa yule alieanza.
Ikitokea alie anza aka perform vizur basi uyu alie bench uwezekano wa kusugua bench unakua mkubwa. Mfano mzuri ni pale Santiago Gareth Bel yuko bench muda mwing Kwa kua Isco yuko kweny kiwango kizur . Gareth anapata nafsi pale tu ikionekana game imemshinda Isco au wako mbele kwa goli nyingi, Vinginevyo ana nafas.
Assume msimu ujao inatokea kichuya anagombania namba kama Gareth pale Santiago
Ki bongo bongo msim mmoja tu tunamsahau kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…