Yanga SC, kwanini mnadanganya Saido ni injury? Mlipeni pesa za usajili

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Njia ya muongo ni fupi sana. Wiki iliyopita club ya Yanga ilitoa taarifa striker wao ana majeraha aliyoyapata Zanzibar.

Nimefuatilia taarifa za ndani sana, habari hizi hazina ukweli wowote. Mchezaji huyu anadai pesa ya usajili na kaweka mgomo.

Nimedokezwa kama angekuwa kaumia Zanzibar mapinduzi Cup, kwanini taarifa zitoke leo.
 
mmmh siamini kabisa , watani na mahera yote ya magodoro washindwe kumlipa hera ya usajili
 
Tafuta interview ya Saido siku ya final Mapinduzi alisema mwenyewe hayupo fit hata juzi kwenye media day alisema the same thing, nakushauri hio pic kwenye avatar yako itoe Lisuu sio mjinga Kama wewe
 
Sawa Hassan bumbuli
 
Mkuuu mbona umepanic sana. Tafuta maji baridi unywe temper ishuke pls pls usipandishe munkari. Babu Saidoo asituletee Ugomvi hapa nguvu alimalizia kwenye Penati za Mapinduzi baada ya Kudhibitiwa na Bw.Mdogo DUCHU
Umepanic mwenyewe kazi kuongea wanaume wenzako wewe hudaiwi?
 
Nyie mwina kaduguda mmeshamlipa elfu tano yake ya chapati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…