Yanga SC mkiambiwa kila kitu 'Mnawaiga' Simba SC na Simba SC ndiyo 'Baba lao' msiwe 'Mnabisha'!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Taarifa za ndani zinaeleza Yanga wataondoka Jumamosi alfajiri na watafika Sudan asubuhi kisha jioni watafanya mazoezi kwa ajili ya mchezo wa Jumapili. Mbinu hiyo waliitumia Simba walipokwenda kuichapa Agosto huko Angola"

Chanzo: Sports Arena Wasafi FM.

Na msivyojua kufikiri wenzenu wenye akili Simba SC 'Advance team' yao ilitangulia Luanda Angola wiki tatu kabla, nyie mijitu yenu iliyotangulia kwenda huko Sudan ndiyo kwanza bado ipo Ethiopia imepotea ndege na inabung'aa bung'aa tu. Na kama wakifika basi ni kesho Alhamisi au Ijumaa wakati mechi yao ni Jumapili saa 2 kamili usiku.

Hovyo kabisa!
 
Mbona unawashwa sana na Yanga. Tuliza kinyeo hicho wanaume kazini
 
Yanga na Al Hilal ndio habari ya mjini na sio ile mechi ya wachumba isiyo na mvuto.
 
Hivi habari za Yanga ndo zinalipa siku hizi?
Maana kila nyuzi ni Yanga ukienda redioni ni Yanga ndo inaongekewa magazetini ni Yanga tu lakini kuna timu nyingi kwenye ligi yetu na nyingine zinajitamba zina mafanikio kimataifa .
 
Yanga ndio Kila kitu, Yanga ndio mpira, Yanga ndio maisha, hakuna jambo la maana bila Yanga.

Kwenye migahawa, vijiweni, redioni, kwenye television, mtaani hakuna dk itapita Yanga iasizungumzwe.

Kimsingi ata Simba iliyotoka ndani ya Yanga ni tawi la Yanga.

Kama ni hesabu za Seti tunasema Simba wowote ni Yanga, ila hakuna Yanga ambaye ni Simba.

Waache watu waiongelee Yanga kwakua ndio mpira wenyewe.
 
Simba ndio Kila kitu.
1. KUVAA jezi.
2. Viatu.
3. Kupanda ndege.
4. Kuleta kombe kutoka Nje ya Tz.Kagame,Tusker nk.
5.Nusu fainali na Fainali ya CAF
6.kusajili mchezaji wa kigeni.
7.Ubigwa wa Tanzania.
8. Kumiliki basi.

Ukiwa mkubwa.

.Kucheza na VAR.
.Kuanzisha Tamasha la Simba Day.
 
Hivi habari za Yanga ndo zinalipa siku hizi?
Maana kila nyuzi ni Yanga ukienda redioni ni Yanga ndo inaongekewa magazetini ni Yanga tu lakini kuna timu nyingi kwenye ligi yetu na nyingine zinajitamba zina mafanikio kimataifa .

Zinalipa kivipi sasa???si tuna enjoy kwamba mnaenda kupigwa kama dufu sudan ndo mana kila siku tunawasimanga
 
Kombe gani Simba alileta toka nje ya tz kabla ya yanga!?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa umefanya mpaka simu yangu imepasuka display kwa kucheka
 
Hivi habari za Yanga ndo zinalipa siku hizi?
Maana kila nyuzi ni Yanga ukienda redioni ni Yanga ndo inaongekewa magazetini ni Yanga tu lakini kuna timu nyingi kwenye ligi yetu na nyingine zinajitamba zina mafanikio kimataifa .
Nyie si ndio mlihonga wachambuzi wawape ubingwa wa Afrika kwenye vyombo vya habari?
Sasa kwa taarifa tu ubora unakuja kutokana na matokeo sio chenga twawala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…