Yanga SC msipovaa jezi nyeusi Jumapili mnafungwa

Yanga SC msipovaa jezi nyeusi Jumapili mnafungwa

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Hakuna kitu kibaya kama imani, yanga wamejiaminusha kuwa jezi nyeusi ndio yenye bahati kwao.

Sasa kimbembe ni jumapili dhidi ya Azam fc, Azam wanasema watavaa jezi nyeusi, ikumbukwe mwenyeji wa mchezo yeye ndio huchagua atavaa jezi gani.

Ngoja tuone hii vita ya jezi itaishia wapi, ila yanga msipovaa jezi nyeusi jumapili mnafungwa maana mtakuwa mmevunja miiko mliyojiwekea wenyewe.

5C5603E6-18A2-40C6-8C1D-51DD8E254960.jpeg
 
Ni upuuzi na kushusha hadhi thamani ya soka letu wenyewe

Nini maana ya kufanya usajili mkubwa kwa wachezaji wakubwa kama bado hofu ya kupoteza mchezo inahusishwa na maswala ya aina fulani ya jezi?
 
Duuh... Kumbe jezi siku hizi zinacheza mpira?
BTW Yanga kumfunga Azam jumapili haiwezi kuwa story ila Azam kumfunga Yanga ndio itakuwa story
 
Duuh... Kumbe jezi siku hizi zinacheza mpira?
BTW Yanga kumfunga Azam jumapili haiwezi kuwa story ila Azam kumfunga Yanga ndio itakuwa story
Hao Makolokolo/Malalamiko/Mbumbumbu/Makelele/Kolowizards/Mikia/Ngada FC ni kuwahurumia tu maana wengi vichwa vyao hutumia kubebea nywele tu wala si akili.
 
Wote tutavaa nyeusi mbona hazishabahiani kabisa [emoji2]
 
Hakuna kitu kibaya kama imani, yanga wamejiaminusha kuwa jezi nyeusi ndio yenye bahati kwao.

Sasa kimbembe ni jumapili dhidi ya Azam fc, Azam wanasema watavaa jezi nyeusi, ikumbukwe mwenyeji wa mchezo yeye ndio huchagua atavaa jezi gani.

Ngoja tuone hii vita ya jezi itaishia wapi, ila yanga msipovaa jezi nyeusi jumapili mnafungwa maana mtakuwa mmevunja miiko mliyojiwekea wenyewe.

View attachment 2454846
Wamekwisha
 
Ni upuuzi na kushusha hadhi thamani ya soka letu wenyewe

Nini maana ya kufanya usajili mkubwa kwa wachezaji wakubwa kama bado hofu ya kupoteza mchezo inahusishwa na maswala ya aina fulani ya jezi?
Simba kimataifa huwa mnaimani kuwa nyumbani (kwa mkapa) hatoki mtu na mnafanya vizuri the same spirit inatumiwa na Young Africans kwenye Jersey
 
Simba kimataifa huwa mnaimani kuwa nyumbani (kwa mkapa) hatoki mtu na mnafanya vizuri the same spirit inatumiwa na Young Africans kwenye Jersey
Irrelevant

Ishu ya kwa Mkapa na ishu ya jezi ni vitu viwili ambavyo unakosea kuviweka pamoja

Africa yote inafahamu nafasi ya home advantage katika kupata matokeo na ni swala ambalo linaelezeka katika soka na kutoa tathmini inayokaribia na uhalisia.

Na ndio maana hata katika ligi yetu, hizi timu mbili ximrkuwa na wakati mgumu kupata matokeo kwenye viwanja vya mikoani (ambapo huko wanakuwa wageni)

Lakini hakuna tathmini yeyote ya kuhusisha matokeo mazuri kutokana na aina fulani ya jezi
 
Ni upuuzi na kushusha hadhi thamani ya soka letu wenyewe

Nini maana ya kufanya usajili mkubwa kwa wachezaji wakubwa kama bado hofu ya kupoteza mchezo inahusishwa na maswala ya aina fulani ya jezi?
Msaidieni Gadiel Michael kulipa kwanza faini ya kwenda kuloga uwanjani.
 
Back
Top Bottom