Ndomaana huko mwanzo nilisema wewe ni TUTUSA.Wewe kiazi, tangu lini Zalan na Marumo wakacheza group stage??
Haya hao Simba wako wapi, na ukubwa wao. Mbona tumewagonga TANO.
Kwa hoja hizi unainesha ulivyo OUNGA. Kafirwe ndio kazi unayo wezaNdomaana huko mwanzo nilisema wewe ni TUTUSA.
October 04 2020 Liverpool alipigwa goli 7-2 na Aston Villa, je hiyo inatosha kusema Aston villa ni kubwa kuliko Liverpool kwa wakati ule na hata sasa?
Kaeni jikoni mkate nyanya kama hamna hoja za msingi.
Usipanick kikekike hivyo, hiyo sio tabia yetu wanaumeKwa hoja hizi unainesha ulivyo OUNGA. Kafirwe ndio kazi unayo weza
Mkuu, punguza jazba.Kwa hoja hizi unainesha ulivyo OUNGA. Kafirwe ndio kazi unayo weza
Sure, hoja ndio msingi wa muafakaUsipanick kikekike hivyo, hiyo sio tabia yetu wanaume
Lete hoja.
Bila shaka, ulimaanisha KUNDI.KUNDU LA YANGA LIKO WAZI
Mkuu timu inayo fundishwa na Nabi imesha tolewa kwenye champions ligi.Nabi amefurushwa? Unazungumzia mwaka jana au mwaka huu? Mbona timu yake mimi kwenye mashindano? Ina maana leo huoni kama mbinu za kocha zilifeli? Kuna sub pale zilitakiwa zifanyike
Aaaah, kweli mkuu nilichanganya na Pyramids, kumbe ile alienda Mayele tu! Ya Nabi kweli ni ile timu ya jeshi ya Morocco!Mkuu timu inayo fundishwa na Nabi imesha tolewa kwenye champions ligi.
Kama la kwako lilivyo wazi mkuu?KUNDU LA YANGA LIKO WAZI
Simba ilisha fika nusu fainal .Watu wanateseka sana, yaani miaka yote turingie kufika robo!!!! Yaani kama umeweza kufika robo kwa nini ushindwe kufika nusu na baadaye Fainali.
Kama Yanga wataishia makundi safari hii na mwakani wakaishia makundi tena, watastahili lawama zote.
Kwangu mimi timu ya simba inastahili kutuonyesha njia kufika nusu Fainali mpaka Fainali safari hii. Ikishindwa tena, maana yake ni moja tu. Timu mbovu isiyo na mwendelezo.
Wanaitwa MwakaroboSimba ilisha fika nusu fainal .