Yanga SC vs Coastal Union

Kwani na wewe unapimaje nafasi ya timu kwa mechi moja? Hivi iwapo simba watacheza kama walovyocheza na ndanda hata top 5 wataipatia wapi!!??. Usitoe maamuzi kwa mpira wa mechi moja, mambo ni motooo sio mida mtaanza kutuangalia kwa darubin tukiwa kileleni na nyinyi mkian[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Exactly..Timu inakata pumzi, haiwezi kupiga za mfululizo yaani bora liende tu aisee. Namshukuru sana Mungu kuniweka kwa Wanalunyasi
Hahaha.. Huku kwetu Kumenoga.
 
Wanaocheza TPL ni haohao ambao simba anadroo yanga akichukua point 3. Kwani huko mbele TPL timu zitabadirishwa zitakuja zingine ambazo mnahisi simba atazifunga na yanga atadroo?. Mi naona tuangalie kinachoendela sasa
 
Hahaha.. Mkuu hizo assumptions hazipo.. Tulia Kesho Simba Ya Uturuki.. Tunachanua makucha yetu.
 
Utaalamu mnaotaka yanga aonyeshe haukuzaa matunda kwa simba hivyo si sahihi kukomaa na kitu kisicholeta matokeo chanya
 
mnacheza na mbao sio katoko au ndanda ile
Mkuu unazungumzia Mbao ipi? Hii ambayo haijawahi kutufunga kamwe?
1. Tumecheza nae mechi 4.. Tumeshinda 3.. Tumedroo 1.
2. Mara ya mwisho katika ligi tulimgonga 5 kavu.
3. Mara ya mwisho tulicheza nae katika kombe la FA fainali tukamgonga 2-1.
Narudia tena unazungumzia Mbao ipi??
 
Nasubiri kuona kesho wakina Mababu wanavyokatwa misumeno
Kesho ndipo utakapojua upo ugenini au nyumbani
Mkuu kesho tunaimaliza gemu mapema sana.. Dk. 20 tu kazi itakua imeisha.. Karibu Kirumba Mkuu kama uko Kwanza.. Ila kama uko mbali, inatakiwa uwahi uwahi kibanda umiza mapema kabisa.. Ukichelewa utakuta gemu ishaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…