Yanga SC vs Coastal Union

Kwa vile ni Simba ya Uturuki -Nanjilinji mkuu!!!
 
Hahahahaaaaa kwa mpira waliocheza jana tarehe 30 vyura watatafuta mpira kwa tochi
 
Hahaha.. Poa
 
Naona mmeshinda bana kwa -1
 
Mkuu kesho tunaimaliza gemu mapema sana.. Dk. 20 tu kazi itakua imeisha.. Karibu Kirumba Mkuu kama uko Kwanza.. Ila kama uko mbali, inatakiwa uwahi uwahi kibanda umiza mapema kabisa.. Ukichelewa utakuta gemu ishaisha.
Naona mmemaliza dk 20 kama ulivyosema hongereni wekundu wa msimbazi[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Nafikiri utakumbuka nilichokuambia, nilisema mnacheza na mbao na sio katoko au ndanda. Ulitoa maneno mengiii ila nafikiri matokeo umeyapata[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ndio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…