Yanga SC vs Coastal Union

Yanga SC vs Coastal Union

Hata lile goli ni basi tu kubebwa. Toka wafunge Makwasukwasu FC wameshikwa vilivyo.
Nachojiuliza mimi mpaka sasa.. Kama Ndala wapo uwanja wao, refa wao wanapiga shot on target 1 ndani ya dk 45 kwa timu kama coastal, sasa ikikutana na Mnyama itakuaje? Si tutawapiga nyingi sana hawa? Na 30/09/2018 ifike mapema.
 
Nachojiuliza mimi mpaka sasa.. Kama Ndala wapo uwanja wao, refa wao wanapiga shot on target 1 ndani ya dk 45 kwa timu kama coastal, sasa ikikutana na Mnyama itakuaje? Si tutawapiga nyingi sana hawa? Na 30/09/2018 ifike mapema.
Mbumbumbu fc hawakupiga hata shuti moja on target kwa ndanda
 
Nachojiuliza mimi mpaka sasa.. Kama Ndala wapo uwanja wao, refa wao wanapiga shot on target 1 ndani ya dk 45 kwa timu kama coastal, sasa ikikutana na Mnyama itakuaje? Si tutawapiga nyingi sana hawa? Na 30/09/2018 ifike mapema.
Tunawapiga tu mkuu, kwa kiwango kibovu kama hiki, yule MK14 atagawa hela kama Kitenge alivyogawa vitenge vitatu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Makambo kaanza mambo yake
Kama kawaida, V.A.R ingekataa hili goli. Shishimbi aliyetoa pasi kwa Makambo alikuwa offside ya wazi kabisa.
20180919_200036.png

Kwa hisani ya Azam Tv.
 
Tunawapiga tu mkuu, kwa kiwango kibovu kama hiki, yule MK14 atagawa hela kama Kitenge alivyogawa vitenge vitatu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha.. Ushauri wangu kwa TFF inabidi waandae tu mipira mingi.. Maana naona wachezaji zaidi ya 2 kila mmoja akiondoka na mpira wake baada ya kufunga hat-trick.
Hatutavumilia yajirudie ya Kitenge.
 
Hata lile goli ni basi tu kubebwa. Toka wafunge Makwasukwasu FC wameshikwa vilivyo.
Offside huangaliwa nafasi ya mchezaji wakati mpira unapotoka kwa mpiga pass wa mwisho, kaeudie kuangalia kama kuna offside pale
 
Offside huangaliwa nafasi ya mchezaji wakati mpira unapotoka kwa mpiga pass wa mwisho, kaeudie kuangalia kama kuna offside pale
Sasa hapo Ajibu si ndio kampigia Shishimbi aliye chini hapo? Shishimbi ni huyo aliyewekewa mwanga na Ajibu ni anayepiga mpira.
 
Back
Top Bottom