Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mechi yao, wanaongoza kwa goli la utata lakini hawana furahaDah.. Hawa Ndala wanabahati sana leo.
Magongowazi mnapata shida kwa mechi isiyowahusuMkuu mechi yao, wanaongoza kwa goli la utata lakini hawana furaha
Yaan anajua basi yeye anakurupuka tuIli si limekataliwa3
Ha ha ha ha ha ha ha ha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Magongowazi mnapata shida kwa mechi isiyowahusu
Ļimerudi banaBado dk 10.. Na kwa jinsi Coastal wanavyolisakama lango la Ndala.. Goli linarudi hili.
Nanyi kwa ule mpira mliocheza na Ndanda mkatoa droo nafasi ya 10 bora msahau kabisaaaWakuu kwa mpira mliocheza leo.. Nafasi 3 za juu katika TPL msahau.
We ndio bwege kweli,hili goli refa alilikataaa...Yanga walilofunga sio hiliKama kawaida, V.A.R ingekataa hili goli. Shishimbi aliyetoa pasi kwa Makambo alikuwa offside ya wazi kabisa.
View attachment 871502
Kwa hisani ya Azam Tv.
Kwani kwasasa nani kinala? Unaongea utafikiri umelewaWakuu kwa mpira mliocheza leo.. Nafasi 3 za juu katika TPL msahau.
Kwa mfano ligi ingeisha leo nani bingwa?Wakuu kwa mpira mliocheza leo.. Nafasi 3 za juu katika TPL msahau.
Ni kumsamehe tu huenda hajui alichokiandika, stress za simba kurudi nyuma pamoja na wakina kagere hazimwachi mtu salamaKwani kwasasa nani kinala? Unaongea utafikiri umelewa
We mnywa misoda ligi hata Watford waliongoza sasa wako wapi?Kwani kwasasa nani kinala? Unaongea utafikiri umelewa
Exactly..Timu inakata pumzi, haiwezi kupiga pasi za mfululizo yaani bora liende tu aisee. Namshukuru sana Mungu kuniweka kwa WanalunyasiWakuu kwa mpira mliocheza leo.. Nafasi 3 za juu katika TPL msahau.