Yanga Sc Vs Stand Unites Updates.

Yanga Sc Vs Stand Unites Updates.

Ushabiki wa Simba na Yanga ni very dynamic. Jana Simba ametoa sare 0-0 ugenini, mashabiki wake wakawa wanyonge mbele ya wa Yanga, utadhani ni matokeo mabaya sana! Leo Yanga ameshinda 4-3 nyumbani, mashabiki wake wamekuwa wanyonge utadhani matokeo ni mabaya sana! Hapo ujue kila mmoja anajipima hali itakuwaje tarehe 30
 
Hongereni watani zetu Vyura FC, tukutane taifa 30/09....
 
Ile mizee ya Simba akina Okwi,Bocco na Kagere iliyoshindwa kuifunga Ndanda ndio iifunge Yanga.?... Simba haina forward imejaa migarasa tu pale mbele isiyokuwa na chochote
Lakini ujue kipa wa Ndanda alikuwa mzuri kuliko Kindoki wa Yanga! 😀😀😀
 
Hata siku walipocheza na Mtibwa hali ilkuwa hivi hivi. Sasa umuhimu wa kikosi kipana utakuja kuonekana pale wachezaji kadhaa wa First Eleven watakapokuwa nje ya uwanja kwa sababu tofauti. Ngoja mechi zipigwepigwe raundi kama nne hivi, majeruhi na kadi za njano ziwaweke nje baadhi, yabaki magalasa
Dua la kuku hilo babu!!!
 
Ushabiki wa Simba na Yanga ni very dynamic. Jana Simba ametoa sare 0-0 ugenini, mashabiki wake wakawa wanyonge mbele ya wa Yanga, utadhani ni matokeo mabaya sana! Leo Yanga ameshinda 4-3 nyumbani, mashabiki wake wamekuwa wanyonge utadhani matokeo ni mabaya sana! Hapo ujue kila mmoja anajipima hali itakuwaje tarehe 30
Kwa hiyo unafananisha sare na ushindi..we bwege kweli...jana Simba ilichezesha migarasa yake yote mbele Okwi, Kagere,Bocco, na bado hawajaambulia goli hata moja
 
Kwa hiyo unafananisha sare na ushindi..we bwege kweli...jana Simba ilichezesha migarasa yake yote mbele Okwi, Kagere,Bocco, na bado hawajaambulia goli hata moja
Sasa muwekeni huyo Kindoki langoni siku hiyo tarehe 30 ndo utawajua hao migarasa
 
Kwani yanga wamecheza mkoani? Mbn wanachonga sana? Kama hamuamini mleteni kindoki taifa tareh 30
 
Kwani yanga wamecheza mkoani? Mbn wanachonga sana? Kama hamuamini mleteni kindoki taifa tareh 30
Umekurupuka sana mkuu,kwahiyo ukicheza mkoani ndo unafungwa?. Hivi kikosi cha bilioni 2 na tambo zoooote zile mnaambulia droo kwa kisingizio cha mkoani...unataka kusema mechi zote za mkoani mtafungwa au?
 
Umekurupuka sana mkuu,kwahiyo ukicheza mkoani ndo unafungwa?. Hivi kikosi cha bilioni 2 na tambo zoooote zile mnaambulia droo kwa kisingizio cha mkoani...unataka kusema mechi zote za mkoani mtafungwa au?
Haya mapovu yote ni kwa hisani ya Kindoki
 
Back
Top Bottom