Yanga SC walamba dili kutoka GSM, Wasaini mkataba wa bilioni 1 kwa miaka 5

Yanga SC walamba dili kutoka GSM, Wasaini mkataba wa bilioni 1 kwa miaka 5

Huu ndio ukameme ambao Mzee Magoma alikuwa akiukemea ila kwasababu tu mashabiki wa Gongowazi ni rotted brain hawakuweza ku decode alicho maanisha.

Club ambayo inapanda thamani kila msimu, unathubutuje kuingia mikataba ya miaka mingi?

Yani hapo ni sawa na kusema thamani ya sasa ya Yanga itakuwa ni ya hivyo hivyo kwa miaka yote mitano.
Ili kua tajiri lazima uwa manipulate maskini..ndio gsm anachofanya..anatembea na gepu
 
Nyie wekeni vijuisi vyenu sijui magodoro ila yule bebi wenu mkae nae wenyewe
 
Nilifikiri labda brand ya Yanga ni expensive sana kumbe bado wanaingia mikataba ya $80,000 kwa msimu na makampuni?

Kwa yanga walipofika hiyo 1 billion ilipaswa iwe ni mkataba wa msimu mmoja tu.
Sahihi kabisa, kwangu naona milioni 200 ni ndogo kwa mwaka.
 
Kampuni ni changa ndio inaanza, alafu kule kwa makolo mikataba ya mo energy, vindoo vya sabuni etc simba wanaingiza shilingi ngapi?
Kwahiyo yanga watakuwa sahihi, kisa simba wamefanya ujinga zaidi, mendeleo hayaji hivyo.. Unaweza kupata pepa 12% na ukawa wa kwanza kwa wajinga wenzio, wakati wenzako wamegonga 90% huko.. Yanga aangalie yeye kakosea sio simba, ya simba yameshaimbwa mnoo..
 
Kampuni ni changa ndio inaanza, alafu kule kwa makolo mikataba ya mo energy, vindoo vya sabuni etc simba wanaingiza shilingi ngapi?

AUGUST 6, 2018

Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza kuingia mkataba wa mwaka na Kampuni ya Utengenezaji vinywaji ya A One Products kupitia kinywaji cha Mo Energy Drink. Mkataba huo utakuwa na thamani ya fedha za kitanzania, shilingi milioni 250. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Mwasala Masoud, amesema fedha hizo zitahusika na Simba kwa ajili ya shughuli mbalimbali ndani ya klabu hiyo.

Mwasala ameeleza kuwa kinywaji cha Mo Energy kitakuwa kinaiwakilisha kampuni ya A One kutokana na utengenezaji wa bidhaa zake ambazo inazalisha. Aidha, Mwasala ameeleza kuwa mkataba huo unaweza ukaongezwa tena baada ya kufikia ukingoni baada ya miezi 12 ijayo kumalizika.

Baada ya A One na Simba kusaini mkataba huo, Kaimu wa Rais wa klabu hiyo, Salim Abdallah ‘Try Again, amesema fedha hizo ambazo ni milioni 250 zitaenda katika mradi wa ujezi wa Uwanja Bunju. Ikumbukwe Simba walianzisha mradi wa ujenzi wa Uwanja huo lakini baadaye ukaja ukasimama kutokana na sakata la viongozi wa klabu akiwemo Rais Evans Aveva kushitakiwa mahakami.

Source: SIMBA YAINGIA MKATABA WA MILIONI 250 NA MO ENERGY | JAMHURI MEDIA
 
Kwahiyo yanga watakuwa sahihi, kisa simba wamefanya ujinga zaidi, mendeleo hayaji hivyo.. Unaweza kupata pepa 12% na ukawa wa kwanza kwa wajinga wenzio, wakati wenzako wamegonga 90% huko.. Yanga aangalie yeye kakosea sio simba, ya simba yameshaimbwa mnoo..
Ndio unaongea nini?
 
Hata Azam tv alitoa billion 30 Kwa miaka 10 kupata kibali cha kuonyesha ligi ya Bongo,
Mikataba ya Azam ni kijambazi sana
 
Hata Azam tv alitoa billion 30 Kwa miaka 10 kupata kibali cha kuonyesha ligi ya Bongo,
Mikataba ya Azam ni kijambazi sana
Ukisema mkataba wa kijambazi tuonyeshe mwingine aliye hitaji kutoa iyo huduma kwa pesa nyingi zaidi yake kama hakuna Sasa unalalamika nini!!
 
Back
Top Bottom