Yanga SC walamba dili kutoka GSM, Wasaini mkataba wa bilioni 1 kwa miaka 5

Yanga SC walamba dili kutoka GSM, Wasaini mkataba wa bilioni 1 kwa miaka 5

Nilifikiri labda brand ya Yanga ni expensive sana kumbe bado wanaingia mikataba ya $80,000 kwa msimu na makampuni?

Kwa yanga walipofika hiyo 1 billion ilipaswa iwe ni mkataba wa msimu mmoja tu.
Mkuu, hapo wa kuitetea YANGA ni nani? MTETEZI WA TIMU ni INJINIA ambaye walimchagua kuwa kiongozi wao. MTETEZI AU MSIMAMIA MASRAHI YA GSM, pia ni huyo huyo INJINIA. Tutegemee nini hapo?
 
Shamba la bwana kheri mali ya bwana kheri.
 
uongoooo....
azam anatoa 22+ kwa mwaka, ni mkataba wa miaka 10!

uwe unatofautisha!
angetoa bil 30 kwa miaka 10 ina maana ni bil 3 kila mwaka?
Kwa hiyo unata kusema Azam anatoa shi ngapi Kwa mwaka
 
Back
Top Bottom