GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa (za Wasiojua) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mleta mada!!! Ugua pole.Wakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa ( za Wasiojjua ) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
Tatizo lenu mnakariri maisha na ndicho kilichowakost ata kwenye mbio za ubingwa, mmeshakariri kwamba yanga anatolewa hatua ya awali sasa kaeni kwa kutulia na msije mkaanza kubadilisha mada na sababu kibao, Na yanga hii kama unaichukulia poa muda utaongea mambo ya maneno maneno, chuki, wivu havina nafasi kwa sasa tunasubili watolewe iyo hatua ya awali mliyokariri vichwani mwenu, na kuhusu ubingwa wameubeba ulitaka wahuzunike au walie?Wakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa ( za Wasiojjua ) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
Wakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa ( za Wasiojjua ) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
Ila kusema ukweli inauma sana, timu inajiona ni bingwa wa kitaifa lakini inaambiwa si chochote wewe nenda kaanzie mchangani huko na wasiojua wenzio!! Inauma sana hasa unapoona timu nyingine ambayo wewe unadhani umeizidi (wakati siyo) ikipewa) shavu la kuanzia round ya 1 na wanaojua wenzake!! Hapa ndipo inapopambanua nani ni mkia wa kweli!!Wasisahau kijichagulia ni nani wanataka awapige nje ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi wanayooo
DJ waleteeeeeeView attachment 2271497
Wakati mnashangilia kuanzia hatua ya kwanza, mfanye na maombi ya wachama wa CAF wasiwe wengi watakaomba club licensing.Ila kusema ukweli inauma sana, timu inajiona ni bingwa wa kitaifa lakini inaambiwa si chochote wewe...
Hao wanapigwa nje ndani hadi warushe mimaji kisha wanarudi kwenye kombe la mbuziWakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa ( za Wasiojjua ) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
Yaani umeandika kama yaandikavyo magazeti ya UDAKU.. Title haihusiani na contentWakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa ( za Wasiojjua ) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
Acha kunipotezea muda Wewe Pimbi sawa?Yaani umeandika kama yaandikavyo magazeti ya UDAKU.. Title haihusiani na content
Sawa wewe ambaye siyo pimbi. Ila fahamu kuwa hakuna anayepoteza muda wa mwenzie, kila mtu anapoteza muda wake..!!!Acha kunipotezea muda Wewe Pimbi sawa?
Imeshapenya hiyo.Sawa wewe ambaye siyo pimbi. Ila fahamu kuwa hakuna anayepoteza muda wa mwenzie, kila mtu anapoteza muda wake..!!!
Imeshapenya hiyo.
Kama 'aliyekutapika' Leba vile.
Hongera..!! Ila tupambane sisi kwa sisi, nje yetu waache hawahusikiKama 'aliyekutapika' Leba vile.
Pimbi Wewe hivi Vitani huwa tunachaguliana Vita? Si umelianzisha Kwangu sasa mbona unaanza Kuweweseka haraka?Hongera..!! Ila tupambane sisi kwa sisi, nje yetu waache hawahusiki
Busara na akili ya mtu huonekana kwa maandishi, maneno na matendo yakePimbi Wewe hivi Vitani huwa tunachaguliana Vita? Si umelianzisha Kwangu sasa mbona unaanza Kuweweseka sasa?