Yanga SC wanavyohangaika na Burudani za kuwa Mabingwa wa Michongo utadhani wamechukua Kombe la CAFCL au CAFCC

Yanga SC wanavyohangaika na Burudani za kuwa Mabingwa wa Michongo utadhani wamechukua Kombe la CAFCL au CAFCC

Ila kusema ukweli inauma sana, timu inajiona ni bingwa wa kitaifa lakini inaambiwa si chochote wewe nenda kaanzie mchangani huko na wasiojua wenzio!! Inauma sana hasa unapoona timu nyingine ambayo wewe unadhani umeizidi (wakati siyo) ikipewa) shavu la kuanzia round ya 1 na wanaojua wenzake!! Hapa ndipo inapopambanua nani ni mkia wa kweli!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena yule Takadini wao aliwaambia wataanza 1St round, kwa kuwa wao mabingwa. Sijui kanuni aliitoa wapi au SOPE FOOTBALL FEDERATION, (SFF).

DJ waleteeeeeeeeh.
 
Duniani binadamu hupimwa kwa Busara zake au labda Mafanikio yake Kimaisha? Wewe Bwege Kweli halafu haujishtukii.
Ukiachana na hayo matusi, mara pimbi mara bwege mara aliyekutapika, sasa hapo ndo umeandika nini? Binadamu hupimwa kitu gani kwa kutumia hiyo busara au hayo mafanikio yake kimaisha?
 
Yanga imeshawahi kuwa Bingwa kwa mara nyingi ila haijawahi kufurahia ubingwa kama ilivyo sasa. Hivyo unapata tafsiri kuwa Haji ndiye anaetaka haya yafanyike ili kumuonyesha yule mwajiri wake wa zamani kuwa ana furaha kubwa.

Hata Demu ukimuacha huwa anafanya jitihada kubwa za kukuonyesha kuwa ana amani na furaha kuliko alivyokuwa kwako. Hivyo waacheni wafurahi ni haki yao.
 
Wakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa ( za Wasiojjua ) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
Tuache tusherehekee ubingwa wetu wewe! Huna mamlaka ya kutuamulia namna ya kufurahia.

Na hayo mambo ya hatua ya awali, siyo kipaumbele chetu kwa sasa.
 
Leo ndio Ile siku mtaumia kuliko siku zote....ngoja tumalize na la Azam federation ndio mtajua hamjui
 
Tu
Ila kusema ukweli inauma sana, timu inajiona ni bingwa wa kitaifa lakini inaambiwa si chochote wewe nenda kaanzie mchangani huko na wasiojua wenzio!! Inauma sana hasa unapoona timu nyingine ambayo wewe unadhani umeizidi (wakati siyo) ikipewa) shavu la kuanzia round ya 1 na wanaojua wenzake!! Hapa ndipo inapopambanua nani ni mkia wa kweli!!
Yanga hatujali chochote wala haituumi popote sijui tumewekwa mchangani mbona poa tu , tutapiga wote wa mchangani na tutakuja huko juu mliko nyie mnaojua na tutawapiga na nyie wote! hakuna atakae epuka viboko this time!

Nabi ni professa wa kabumbu nani aliona kama Denis Nkane ni mdogo ila kumbe ni hatari mno ukiambiwa uchague kupigwa risasi au ukutane na Denis Nkane fasta tu utachagua wakulime risasi!!

The fall of Simba has many colours! mmefukuza kocha na wachezaji, haitoshi , mashabiki wanaumwa vihoro na wamejaa hasira wanatukana ovyo nasi Wanayanga tunajua kwasasa kuongea na mwanasimba unakaa nae distance ya mita moja maana ukiwa karibu unaweza kupokea Makonde kwa kusema tu kuwa Morisson anarudi Yanga au Mugalu ni butu na anafaa kucheza Chuganism, Abajalo au Ubelgiji FC za Ndondo kapu!
 
Wasisahau kijichagulia ni nani wanataka awapige nje ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi wanayooo

DJ waleteeeeeeView attachment 2271497
Chekooo
IMG-20220625-WA0011.jpg
 
Siku izi zinaandikwa thread fupifupi. Vinawauma vimewabana kwenye koromeo Makolo wizard

Byuti byuti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa ( za Wasiojjua ) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
Kama Mugalu "goal" machine atakuwa Yanga tutatolewa ila kwa huu moto hata sisi makolo tutahamia Jangwani
 
Ila kusema ukweli inauma sana, timu inajiona ni bingwa wa kitaifa lakini inaambiwa si chochote wewe nenda kaanzie mchangani huko na wasiojua wenzio!! Inauma sana hasa unapoona timu nyingine ambayo wewe unadhani umeizidi (wakati siyo) ikipewa) shavu la kuanzia round ya 1 na wanaojua wenzake!! Hapa ndipo inapopambanua nani ni mkia wa kweli!!
Inauma? chomoa
 
Back
Top Bottom