[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena yule Takadini wao aliwaambia wataanza 1St round, kwa kuwa wao mabingwa. Sijui kanuni aliitoa wapi au SOPE FOOTBALL FEDERATION, (SFF).Ila kusema ukweli inauma sana, timu inajiona ni bingwa wa kitaifa lakini inaambiwa si chochote wewe nenda kaanzie mchangani huko na wasiojua wenzio!! Inauma sana hasa unapoona timu nyingine ambayo wewe unadhani umeizidi (wakati siyo) ikipewa) shavu la kuanzia round ya 1 na wanaojua wenzake!! Hapa ndipo inapopambanua nani ni mkia wa kweli!!
Duniani binadamu hupimwa kwa Busara zake au labda Mafanikio yake Kimaisha? Wewe Bwege Kweli halafu haujishtukii.Busara na akili ya mtu huonekana kwa maandishi, maneno na matendo yake
Ukiachana na hayo matusi, mara pimbi mara bwege mara aliyekutapika, sasa hapo ndo umeandika nini? Binadamu hupimwa kitu gani kwa kutumia hiyo busara au hayo mafanikio yake kimaisha?Duniani binadamu hupimwa kwa Busara zake au labda Mafanikio yake Kimaisha? Wewe Bwege Kweli halafu haujishtukii.
Tuache tusherehekee ubingwa wetu wewe! Huna mamlaka ya kutuamulia namna ya kufurahia.Wakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa ( za Wasiojjua ) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
Yanga hatujali chochote wala haituumi popote sijui tumewekwa mchangani mbona poa tu , tutapiga wote wa mchangani na tutakuja huko juu mliko nyie mnaojua na tutawapiga na nyie wote! hakuna atakae epuka viboko this time!Ila kusema ukweli inauma sana, timu inajiona ni bingwa wa kitaifa lakini inaambiwa si chochote wewe nenda kaanzie mchangani huko na wasiojua wenzio!! Inauma sana hasa unapoona timu nyingine ambayo wewe unadhani umeizidi (wakati siyo) ikipewa) shavu la kuanzia round ya 1 na wanaojua wenzake!! Hapa ndipo inapopambanua nani ni mkia wa kweli!!
Pilipiki usiyoila imakuwashia nini?Wakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa ( za Wasiojjua ) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
ChekoooWasisahau kijichagulia ni nani wanataka awapige nje ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi wanayooo
DJ waleteeeeeeView attachment 2271497
Kama Mugalu "goal" machine atakuwa Yanga tutatolewa ila kwa huu moto hata sisi makolo tutahamia JangwaniWakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa ( za Wasiojjua ) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
Feisal hayo Meno yake alipiga Mswaki Kweli? Halafu mbona Meno yake ni Makubwa kuzidi Kichwa chake?
Byuti byuti [emoji23][emoji23][emoji23]Feisal hayo Meno yake alipiga Mswaki Kweli? Halafu mbona Meno yake ni Makubwa kuzidi Kichwa chake?
Inauma? chomoaIla kusema ukweli inauma sana, timu inajiona ni bingwa wa kitaifa lakini inaambiwa si chochote wewe nenda kaanzie mchangani huko na wasiojua wenzio!! Inauma sana hasa unapoona timu nyingine ambayo wewe unadhani umeizidi (wakati siyo) ikipewa) shavu la kuanzia round ya 1 na wanaojua wenzake!! Hapa ndipo inapopambanua nani ni mkia wa kweli!!
Pole Sana , unaugulia maumivu ukiwa wapi?Wakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa (za Wasiojua) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.
Sii tulikubaliana kwamba muimba kupokezanaWakati wenye Akili tunajua kuwa mnaanzia hatua za Awali kabisa (za Wasiojua) kisha Mechi Moja tu mnarejea Kariakoo.