Yanga SC yaajiri CEO Mpya mwenye 'Lundo' za 'Kesi' mbalimbali za 'Uhalifu' na 'Hatari' Nyinginezo

Yanga SC yaajiri CEO Mpya mwenye 'Lundo' za 'Kesi' mbalimbali za 'Uhalifu' na 'Hatari' Nyinginezo

Mimi ni shabiki WA Simba Ila Simba wenzangu acheni ujinga na umbumbumbu. MTU kama hajatiwa hatiani ni MTU clean na innocent.

Mbona Aden rage aliwahi kufungwa Jela kabisa na akaja kuwa mwenyekiti WA Simba sports club.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hatuna Shabiki wa Simba SC Mwendawazimu ( Mental ) wa mfano wako sawa? Bakia tu huko huko Yanga SC inatosha.
 
Tuletee na hukumu ya hizo kesi na kwa nini akufungwa mpaka leo, usipoleta hukumu ya hizo kesi basi kaeni kimya hivyo hivyo mpira wa kitanzania na Afrika unahitaji mtu mafia kama uyo jamaa na atawanyoosha
wanamhofia maana tunao mjua ni kwamba yanga imeamua
 
Yale mafanikio ya tp mazembe.usajiri na mipango ni huyo mtine .mutu ya football
 
Back
Top Bottom