Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna Shabiki wa Simba SC Mwendawazimu ( Mental ) wa mfano wako sawa? Bakia tu huko huko Yanga SC inatosha.Mimi ni shabiki WA Simba Ila Simba wenzangu acheni ujinga na umbumbumbu. MTU kama hajatiwa hatiani ni MTU clean na innocent.
Mbona Aden rage aliwahi kufungwa Jela kabisa na akaja kuwa mwenyekiti WA Simba sports club.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Sawa mke wanguHatuna Shabiki wa Simba SC Mwendawazimu ( Mental ) wa mfano wako sawa? Bakia tu huko huko Yanga SC inatosha.
Simba ina CEO bora kabisa Afrika. Anaitwa Bi. Babra Gonzalez!Kwanini Makolo wamepaniki sana na hii ishu? Kwani mmeambiwa au mmechaguliwa aje kuwa CEO wa Simba? Nini kinawawasha yaani?
wanamhofia maana tunao mjua ni kwamba yanga imeamuaTuletee na hukumu ya hizo kesi na kwa nini akufungwa mpaka leo, usipoleta hukumu ya hizo kesi basi kaeni kimya hivyo hivyo mpira wa kitanzania na Afrika unahitaji mtu mafia kama uyo jamaa na atawanyoosha