Mimi ni shabiki WA Simba Ila Simba wenzangu acheni ujinga na umbumbumbu. MTU kama hajatiwa hatiani ni MTU clean na innocent.
Mbona Aden rage aliwahi kufungwa Jela kabisa na akaja kuwa mwenyekiti WA Simba sports club.
Sent from my SM-A032F using
JamiiForums mobile app