Wapi niliposema hawakosei?Hao viongozi Wasikosee kwa sababu gani? Huwa hawashindwi kesi na kulipa mafidia yasiyo na lazima? Hizi Club zishakuwa kama dini sasa, ni kusifu na kuabudu.
Soma waraka wako boss utaona ulivyowapamba viongozi kanakwamba si wakatikaji.Wapi niliposema hawakosei?
Nani kasema hawashindwi kesi na kulipa fidia?
Hata mimi naenda na andiko lako la kukosoa. Onyesha sentensi gani nimeandika hawakosei au timu haipigwi faini na kulipishwa fidia?Soma waraka wako boss utaona ulivyowapamba viongozi kanakwamba si wakatikaji.
Mbwa weweUnaishi bila madeni na unajiita mwanaume? Hata Marekani inadaiwa.
Ni moja ya mentality za kimasikini kuhalalisha mambo ya ajabu. Yes madeni yapo but si sifa ya uanaumeKwa mentality ndio maana wengi wenu mnapenda kukopa ila hamtaki kulipa, ndio maa mna maadui Kila Kona kwanzia ndani ya familia yako sababu ya kutokulipa madeni ya watu
Halafu inajiita timu kubwa TanganyikaView attachment 3170116
Usiku wa kuamkia leo nimepokea barua kutoka FIFA ikitamka kuifungia klabu ya Yanga kwa kushindwa kulipa madeni ya Usajili
Ni Matapeli Fc mkuu ndo maana kila siku mabarua ya kukumbushwa waache utapeli.Hata mimi naenda na andiko lako la kukosoa. Onyesha sentensi gani nimeandika hawakosei au timu haipigwi faini na kulipishwa fidia?
Kwa hiyo ukiwapamba viongozi ndio kiashiria cha kusema hawakosei? Najua ni binadamu wana makosa mengi ila haiondoi sifa zao nzuri. Yanga football club issue ya kulipa fidia wachezaji au wafanya kazi ni jambo la kawaida kabisa. Duniani kote timu zote zinavunja mikataba na kulipa fidia. Yanga inalipa wachezaji au makocha kwa mujibu wa sheria toka vyama vya mpira. Ndio maana hakuna dirisha la usajili lilipofika hawakusajili au kuwepo kizuizi.
Kuna facts na ushabiki uliombatana na utani mkuu. Kukumbushwa haimaanishi hawajui au hawatalipa.Ni Matapeli Fc mkuu ndo maana kila siku mabarua ya kukumbushwa waache utapeli.
Ukimalizana na Yanga, urudi kwa Mwenyekiti Mangungu kama kwa sasa anafaa, au bado tuendeleze ile kampeni yetu ya kumtimua.View attachment 3170116
Usiku wa kuamkia leo nimepokea barua kutoka FIFA ikitamka kuifungia klabu ya Yanga kwa kushindwa kulipa madeni ya Usajili
Uto imefungiwa-haijafungiwa?Ukimalizana na Yanga, urudi kwa Mwenyekiti Mangungu kama kwa sasa anafaa, au bado tuendeleze ile kampeni yetu ya kumtimua.
Imefungiwa na nani? Timu iliyofungiwa uwa inasajili? KELELE zenu za Kila siku uwa amjishtukii,,uyo okrah mnaemsema alishalipwa siku nyingi anashangaa habari za udaku na kipeperushi cha uyo mirky wenu kinachosema makao makuu ya fifa yako Miami!!!Uto imefungiwa-haijafungiwa?
What if kila upochelewa unapigwa penalt?Wewe unafikiri Yanga hawajui ukomo wa madai wewe ndio unajua sana? Au kwamba wewe ni mwerevu kuliko management ya Yanga na kitengo cha fedha?
Labda nikupe wazo dogo tu. Kwenye uongozi wa taasisi yoyote lazima ujue uimara na udhaifu wa sheria na kanuni zinazowaongoza. Hii itakusaidia kwenye maamuzi wakati gani ulipe ama usilipe.
Mfano kwenye kesi nyingi timu inafungiwa kusajili mpaka madai ya wachezaji walipwe. Na unakuta mwezi inapotoka statement hiyo ni September dirisha la usajili liko January. Kwa nini ukimbilie kulipa wakati hizo pesa zinaweza kutumika kwenye shughuli nyingine za uendeshaji wa team then mwishoni mwa mwezi December kabla ya dirisha la usajili kufunguliwa zinalipwa then unaendelea na usajili?
Fikiria madai haya yaliyoletwa hapa. Yanaitaka Yanga kulipa kiasi chote au kwa vipindi vitatu vinavyofuatana. Kwa nini usitumie udhaifu wa sheria hiyo kuanzisha taratibu za malipo mwezi December ili vipindi vingine vya malipo vianze mwaka mwingine na pesa zikatumika mahali pengine?
Kila kitu lazima kifanywe kwa manufaa ya taasisi si kwa manufaa ya watu nje ya taasisi.
TRA wanatoa nafasi ya kulipa corporate Tax kwa mkupuo au by Installments za hadi nne. Asilimia kubwa ya walipa kodi wanalipa kila robo ili pesa nyingine waizungushe izalishe pesa ya malipo mengine ya kodi. Uongozi sio kufanya payment kila muda . Viongozi wa Yanga wanajua wanachofanya. Lazima watafute fursa za kunufaika na udhaifu wa sheria na kanuni za FIFA au chama chochote cha mpira.
Sasa hiyo ni if. Soma hiyo barua iliyopo hapo kama ina penalty. Penalty hutokea pale ambapo umepewa due date ya kukamilisha malipo. Kama hilo halipo kwa nini ukimbilie kulipa mapema?What if kila upochelewa unapigwa penalt?
Maelezo yakitolewa yakawa na mashiko hakuna kiashiria kibaya. Kama kuna shida Yanga isingekuwa inasajili kila dirisha. Matatizo na kusumbuka ni kwa wasomaji wa barua mitandaoni kuliko wahusikaKwanza kuonekana wewe tu unapigwa faini mara kwa mara inaashiria nini kwa klabu na uongozi.
Hata wachezaji wataanza kuogopa kujiunga na hii timu ama unakutana na vipengele vigimu kwenye mikataba yao ili kujilinda na uhuni wa klabu.