Yanga SC yamtaja Abdulrahman Kinana kuwa mgeni rasmi wiki ya Wananchi 2022/23

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Klabu ya Yanga imetangaza kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, ni mgeni rasmi kwenye tamasha la wiki ya Wananchi 2022/2023 linalofanyika leo Agosti 6, 2022 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jiji Dar es salaam.
 
Hapa huwa nashindwa kuelewa kwanini haya mambo ya mpira kuleta wanasiasa.

Huku ni kuwagawa mashabiki wa mpira, Simba walifanya hivi na Yanga nao wamemualika kiongozi wa siasa.

Anayeshauri haya mambo huwa haangalii madhara yake ya kuleta mpasuko kwa mashabiki wao na kutojifunza kwa wenye mpira wao.

Kocha Pitso angetosha sana kuwa mgeni rasmi wiki ya Wananchi yaani..!
 
Kama kutomualika mwasiasa ni kumtenga kwenye mchezo wa mpira basi sawa tumeelewa hivyo kwa kuwa mpira wetu ni wa kivyetu vyetu.
Mkuu sina maana hiyo,

Maana yangu ni kwamba, kama tuna uwezo wa kumwalika asiye mwanasiasa tuna sababu zipi za kutomwalika mwanasiasa!

Kinana ni yanga, anapaswa kuangaliwa kama mwana yanga na si mwana ccm, kwasababu mpira hutuleta pamoja.
 
Ukiambiwa huna akili unakasirika..

Yeye amealikwa kama mgeni rasmi au kama mwanasiasa?

Inaonekana uliangushwa kisogoni udogoni.
 
Mkuu sina maana hiyo,

Maana yangu ni kwamba, kama tuna uwezo wa kumwalika asiye mwanasiasa tuna sababu zipi za kutomwalika mwanasiasa!

Kinana ni yanga, anapaswa kuangaliwa kama mwana yanga na si mwana ccm, kwasababu mpira hutuleta pamoja.
Unapoteza muda wako wa thamani kulijibu hilo kilaza.
 
Ndiyo hadi Wanaume nao Waseme hivyo Byuti Byuti?

It doesn't make any sense Kwa kweli Mwanaume kutamka hayo maneno.

Bora uhamie kwetu useme "We are Unstoppable"[emoji123][emoji123][emoji123]
Hatuhusiki na ujinga ulio amua kufuga kichwani kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…