Anzisha uzi mkuu muda unaenda sana.Hili la kutopigwa game ya Derby sio mashabiki na wadau wa soka tu, kumbe mpaka wachezaji wamemaindi..!
Kwani jamaa ni mtaalam wa kuanzisha nyuzi za game wanazofungwa Utopolo?Anzisha uzi mkuu muda unaenda sana.
HahahaKwani jamaa ni mtaalam wa kuanzisha nyuzi za game wanazofungwa Utopolo?
Gentamycin huyoKlabu ya Yanga imemrudisha Dar es Salaam Nahodha wake Raia wa Ghana Lamine Moro kwa Utovu wa Nidhamu.
Chanzo: SportsarenaTZ
Hata hivyo Taarifa za ndani kabisa ambazo Krav Maga nimezipata baada ya Kuviulizia Vyanzo vyangu aminifu ndani ya Klabu ya Yanga vimesema Nahodha huyo ametimuliwa kwa haya Mambo makuu Mawili tu....
1. Deni lake la Pesa anazozidai mno za Mkataba wake baada ya Kusajili tena Yanga SC
2. Kauli yake ya Kuusema Uongozi wa Yanga SC kuwa hakukuwa na sababu ya Kutokucheza Mechi yao na Simba SC iliyoota mbawa.
Wakati Nahodha Lamine Moro akilianzisha hili tayari kuna Fukuto lingine baina ya Yanga SC Ceremonial Captain Mnyarwanda Haruna Niyonzima dhidi ya Kocha wake Nabi na Yeye kutaka Kuondoka Yanga SC baada ya Kuchoshwa na yanayoendelea.
Ni imani Kubwa Watangazaji na Wachambuzi wa Michezo wa Media Kubwa nchini za Clouds FM, Efm Radio, Wasafi FM na EA Radio kuanzia Jumatatu mtalizungumzia hili sana na kulipa Airtime ya Kutosha Kulijadili kama ambavyo huwa mnashadadia Mambo ya Simba SC ambayo hata hivyo mengi huwa ni ya Uwongo, Uzushi na Chuki.
Ni kweli Malalamiko FC watafungwa lakini hoja yako ya kuvunja jungu siiafiki, maana hata Wachezaji wa Namungo nao walivunja 'Jungu'YANGA lazma wafungwe leo, ushahidi usion na shaka unaonyesha WACHEZAJI WENGI WALIVUNJA JUNGU JANA, wale waliokuwa wamefunga walifungulia na madem wa MTWARA, na hivyo walipiga show na hawana nguvu isipokuwa wakristo ambao wao hawakufunga .
its obvious NAMUNGO watashinda mechi.
Hili la kutopigwa game ya Derby sio mashabiki na wadau wa soka tu, kumbe mpaka wachezaji wamemaindi..!
South ipi mkuu. South Africa ama😂😂😂😂Mambo ya yanga hayo huko south
Mara Lamin Moro! Mara Niyonzima! Mara Ntibazonkiza, mara Kaseke!! Shida yako ni nini hasa wewe mbumbumbu?Yanga SC tokea asajiliwe Saido Ntibazonkinza kumekuwa na Matabaka kwa Wachezaji na mpaka wengine Kutukanana Kambini kama Kaseke na huyu huyu Ntibazonkinza.
Unaonekana unavutiwa sana na stori za umbea na majungu! Halafu aliyekupa mamlaka ya kuwapangia watu cha kusema ni nani?Kuna Moto mkubwa sana huko Kambini Yanga SC Ndugu. Nawasubiri Watangazaji Wanafiki akina Kitenge, Mkule, Njenge, Mkumba, Mhando na Goza Chuma bila kuwasahau Wachambuzi Wanafiki akina George Job, Shaffih Dauda na Jemedari Said nao niwasikie watasemaje katika hili na wasikazanie Kushadadia tu yaihusuyo Simba SC.
NAMUNGO wamevunja watatu tu, Yanga kama wote, supu za miguuni zimeisha.Ni kweli Malalamiko FC watafungwa lakini hoja yako ya kuvunja jungu siiafiki, maana hata Wachezaji wa Namungo nao walivunja 'Jungu'
Walishikana mashati na kocha wake wakkataka kuzichapa kidogoKlabu ya Yanga imemrudisha Dar es Salaam Nahodha wake Raia wa Ghana Lamine Moro kwa Utovu wa Nidhamu.
Chanzo: SportsarenaTZ
Hata hivyo Taarifa za ndani kabisa ambazo Krav Maga nimezipata baada ya Kuviulizia Vyanzo vyangu aminifu ndani ya Klabu ya Yanga vimesema Nahodha huyo ametimuliwa kwa haya Mambo makuu Mawili tu....
1. Deni lake la Pesa anazozidai mno za Mkataba wake baada ya Kusajili tena Yanga SC
2. Kauli yake ya Kuusema Uongozi wa Yanga SC kuwa hakukuwa na sababu ya Kutokucheza Mechi yao na Simba SC iliyoota mbawa.
Wakati Nahodha Lamine Moro akilianzisha hili tayari kuna Fukuto lingine baina ya Yanga SC Ceremonial Captain Mnyarwanda Haruna Niyonzima dhidi ya Kocha wake Nabi na Yeye kutaka Kuondoka Yanga SC baada ya Kuchoshwa na yanayoendelea.
Ni imani Kubwa Watangazaji na Wachambuzi wa Michezo wa Media Kubwa nchini za Clouds FM, Efm Radio, Wasafi FM na EA Radio kuanzia Jumatatu mtalizungumzia hili sana na kulipa Airtime ya Kutosha Kulijadili kama ambavyo huwa mnashadadia Mambo ya Simba SC ambayo hata hivyo mengi huwa ni ya Uwongo, Uzushi na Chuki.
Kilichoelezwa na nani?Hilo la kudai mshahara linaingiaje wakati kilichoelezwa ni ugomvi wa yeye na kocha?
Kasome Instagram taarifa rasmi kutoka Yanga.Kilichoelezwa na nani?
Wametumia KANUNI ipi?Klabu ya Yanga imemrudisha Dar es Salaam Nahodha wake Raia wa Ghana Lamine Moro kwa Utovu wa Nidhamu.
Chanzo: SportsarenaTZ
Hata hivyo Taarifa za ndani kabisa ambazo Krav Maga nimezipata baada ya Kuviulizia Vyanzo vyangu aminifu ndani ya Klabu ya Yanga vimesema Nahodha huyo ametimuliwa kwa haya Mambo makuu Mawili tu....
1. Deni lake la Pesa anazozidai mno za Mkataba wake baada ya Kusajili tena Yanga SC
2. Kauli yake ya Kuusema Uongozi wa Yanga SC kuwa hakukuwa na sababu ya Kutokucheza Mechi yao na Simba SC iliyoota mbawa.
Wakati Nahodha Lamine Moro akilianzisha hili tayari kuna Fukuto lingine baina ya Yanga SC Ceremonial Captain Mnyarwanda Haruna Niyonzima dhidi ya Kocha wake Nabi na Yeye kutaka Kuondoka Yanga SC baada ya Kuchoshwa na yanayoendelea.
Ni imani Kubwa Watangazaji na Wachambuzi wa Michezo wa Media Kubwa nchini za Clouds FM, Efm Radio, Wasafi FM na EA Radio kuanzia Jumatatu mtalizungumzia hili sana na kulipa Airtime ya Kutosha Kulijadili kama ambavyo huwa mnashadadia Mambo ya Simba SC ambayo hata hivyo mengi huwa ni ya Uwongo, Uzushi na Chuki.
Hana majerhi ila hayupo hata benchi.Mbumbumbu fc kwenye propaganda mpo chini Sana. Wenzenu wame waacha mbali katika eneo ilo.
Kwa hiyo ni kilichoelezwa na Yanga. Hivi Yanga haikuwahi kueleza Chama amesaini, Morrison amesaini, Tshabalala amesaini nk?Kasome Instagram taarifa rasmi kutoka Yanga.