Wanatofautiana kwa pointi 4.5, nadhani ponti zinapatikana kwa kushinda mechi kwenye mashindano ya CAF ila zinatofautiana kwa aina ya .mashindano.
Kwa Kombe la Shirikisho sijajua timu ikishinda inapata pointi ngapi ila kama Yanga angekuwa anakutana na aliye juu yake akamshinda nadhani pointi zinakuwa nyingi tofauti na kumshinda aliye chini.