py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Klabu ya Yanga imepangwa kucheza na timu ya Wolaitta Dicha SC ya nchini Ethiopia katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika
> Yanga inashirki michuano hii babaada ya kuondolewa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika
> Michezo ya kwanza inatarajiwa kurindima mnamo tarehe 6,7, na 8 mwezi April 2018 na michezo ya pili kupigwa 17 na 18 mwezi April
=======
YANGA KUCHEZA NA NANI KATI YA TIMU HIZI 8, DROO NI LEO
Timu ambazo mojawapo inaweza kupangwa na Yanga katika droo ya kesho ya CAF Confederation Cup.
CR Belouizdad, USM Alger za Algeria, Al-Masry ya Misri, Djoliba ya Mali, Raja Casablanca, Enyimba ya Nigeria, SuperSport United ya Afrika Kusini na Al-Hilal Al-Ubayyid ya Sudan.
NB:Chonde chonde mashabiki wa yanga ombeni msipangiwe Kati ya hawa Raja Casablanca au USM Alger kwa ninavyomfahamu lwandamina tutadhalilika na sijui nyuso zetu tutaziweka wapi...Tuombeni tupangiwe hizo timu zingine
> Yanga inashirki michuano hii babaada ya kuondolewa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika
> Michezo ya kwanza inatarajiwa kurindima mnamo tarehe 6,7, na 8 mwezi April 2018 na michezo ya pili kupigwa 17 na 18 mwezi April
=======
YANGA KUCHEZA NA NANI KATI YA TIMU HIZI 8, DROO NI LEO
Timu ambazo mojawapo inaweza kupangwa na Yanga katika droo ya kesho ya CAF Confederation Cup.
CR Belouizdad, USM Alger za Algeria, Al-Masry ya Misri, Djoliba ya Mali, Raja Casablanca, Enyimba ya Nigeria, SuperSport United ya Afrika Kusini na Al-Hilal Al-Ubayyid ya Sudan.
NB:Chonde chonde mashabiki wa yanga ombeni msipangiwe Kati ya hawa Raja Casablanca au USM Alger kwa ninavyomfahamu lwandamina tutadhalilika na sijui nyuso zetu tutaziweka wapi...Tuombeni tupangiwe hizo timu zingine