Yanga SC Yazindua Jezi Rasmi za Msimu Mpya wa 2022/23

Yanga SC Yazindua Jezi Rasmi za Msimu Mpya wa 2022/23

Hamza wa ubalozini huyu hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamemuenzi, woiiiiiiiiiiih

Byuti byuti.
FB_IMG_16590380515478693.jpg
 
Mapema jioni hii mabingwa wa nchi, mabingwa mara nyingi na mabingwa wa kihistoria wamezindua rasmi uzi mpya utakao tumika msimu ujao.

Mabingwa hao wameendelea kushika usukani katika kuzalisha na kutengeneza jezi nzuri na zenye ubora afrika mashariki na kati.

Rais wa Klabu anazungumza.


Sheria Ngowi anazungumza.

Sifa ya jezi za. nyumbani (home kit) imejengwa na iconic buildings zote za taifa la Tanzania.





Sifa za jezi za ugenini inaundwa na tafsiri muunganiko wa wanachama na klabu yao.


Sifa ya jezi namba tatu inaundwa na kumbukumbu ya wachezaji wa zamani wa Yanga SC.


View attachment 2307272View attachment 2307273View attachment 2307274View attachment 2307275View attachment 2307276View attachment 2307277View attachment 2307278View attachment 2307279
Ubunifu mzuri
 
Kama hujaona ramani ya nyumba yako kwenye jezi ya yanga basi tupigie kwenye namba yetu ya wizara ya ardhi. [emoji41][emoji41]
 
Kama hujaona ramani ya nyumba yako kwenye jezi ya yanga basi tupigie kwenye namba yetu ya wizara ya ardhi. [emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
UDSM, Nkurumah hall ([emoji3590])

UDOM, Admission block ([emoji171])

Km hujaona chuo chako, fika haraka TCU uhakikiwe.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Byuti byuti.
FB_IMG_16590798815974703~2.jpg
 
UDSM, Nkurumah hall ([emoji3590])

UDOM, Admission block ([emoji171])

Km hujaona chuo chako, fika haraka TCU uhakikiwe.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Byuti byuti. View attachment 2307921
Nimependa huu ubunifu kwenye home kit.

At least una jicho kali la kutambua iconic buildings.

Sheria Ngowi anahitaji pongezi kwa kweli.
 
Bila matusi, jazba, ushabiki, tujadili hili , kuhusu uzinduzi wa jezi za msimu mpya 2022/2023 kwa timu ya wananchi, Bila muhamashishaji wa timu hiyo ndugu H. S. Manara,
Nini maoni yako je kutokuwepo kwake katika hafla ya uzinduzi wa jezi hizo
Je wewe kama mwananchi umepata picha gani...
 
Bila matusi, bila jazba tujadili,au nini maoni yako kuhusu uzinduzi wa jezi za msimu mpya 2022/2023.. Bila muhamashishaji wa timu hiyo ndugu Sunday Manara,
Nini maoni yako je kutokuwepo katika hafla ya uzinduzi wa jezi hizo,umepata picha gani...
Unataka team imtumie ili wapigwe fine. Pamoja na tambo zote za manara hawazi kupewa platform kwenye club maana rungu litahamia kwa club.
Manara atumie tu hekima amalizane na TFF, vinginevyo ndio basi tena turamuona baada ya miska miwili akiitumikia club
 
Bila matusi, bila jazba tujadili,au nini maoni yako kuhusu uzinduzi wa jezi za msimu mpya 2022/2023.. Bila muhamashishaji wa timu hiyo ndugu Sunday Manara,
Nini maoni yako je kutokuwepo katika hafla ya uzinduzi wa jezi hizo,umepata picha gani...
Jezi zimepata wasemaji wengi kuliko matarajio hata Pengo la Manara halionekani,, makolo wamesaidia kuipa promo jezi
 
Nimependa huu ubunifu kwenye home kit.

At least una jicho kali la kutambua iconic buildings.

Sheria Ngowi anahitaji pongezi kwa kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km mwehu, eti nn?? Poleeeeeh Ngowi kakutua na kukuacha mnyongee, weraaaaaaaah

Byuti byuti.
 
Back
Top Bottom