Yanga shukuruni maana ratiba ya African Football League msingeiweza

Yanga shukuruni maana ratiba ya African Football League msingeiweza

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Yanga wamekuwa na tabia ya kuomba mechi zao ziahirishwe pale wanapokuwa na mfululizo wa mechi . Ni juzi juzi tu hapa tulikuwa tunajadili ni kwa nini mechi ya Yanga vs KMC iliahirishwa ilhali Yanga walikuwa wacheze na katimu kadogo ka ASAS Djibouti kwa mechi zote zilitakiwa kuchezwa Dar es Salaam wakati huo huo Simba akicheza uwanja wa Manungu, Morogoro halafu akarudi kucheza Dar es Salaam na Azam akicheza Dar akaenda kucheza Ethiopia.

Nimeiangalia ratiba ya AFL la kiukweli imebana saaana. Baada ya Simba kucheza mechi ya kwanza na Al Ahly, italazimika kusafiri na kurudiana nao baada ya siku nne tu. Kwenye nusu fainali nako ndiyo usiseme, mechi za marudiano ziko baada ya siku tatu tu. Kutoka mechi ya pili ya nusu fainali hadi mechi ya kwanza ya fainali ni siku 4 tu.

Kwa hiyo nawasihi uto washukuru kikombe hiki wamekiepuka. Kama ulimkimbia timu dhaifu kama KMC kwa kumuogopa timu nyingine dhaifu kama ASAS, ungeweza kweli kutoana jasho na miamba hii kwa ratiba ngumu kama hii? Ila nasikia mganga wenu yuko jikoni amesharusha jini mikwaruzano huko Angola inayotishia kuiondoa Atletico Petroleos de Luanda ili Yanga ichukue nafasi yake.

R.I.P legend, mshindi wa kwanza wa African Ballon D'Or, Salif Keita.
 
Yanga wamekuwa na tabia ya kuomba mechi zao ziahirishwe pale wanapokuwa na mfululizo wa mechi . Ni juzi juzi tu hapa tulikuwa tunajadili ni kwa nini mechi ya Yanga vs KMC iliahirishwa ilhali Yanga walikuwa wacheze na katimu kadogo ka ASAS Djibouti kwa mechi zote zilitakiwa kuchezwa Dar es Salaam wakati huo huo Simba akicheza uwanja wa Manungu, Morogoro halafu akarudi kucheza Dar es Salaam na Azam akicheza Dar akaenda kucheza Ethiopia.

Nimeiangalia ratiba ya AFL la kiukweli imebana saaana. Baada ya Simba kucheza mechi ya kwanza na Al Ahly, italazimika kusafiri na kurudiana nao baada ya siku nne tu. Kwenye nusu fainali nako ndiyo usiseme, mechi za marudiano ziko baada ya siku tatu tu. Kutoka mechi ya pili ya nusu fainali hadi mechi ya kwanza ya fainali ni siku 4 tu.

Kwa hiyo nawasihi uto washukuru kikombe hiki wamekiepuka. Kama ulimkimbia timu dhaifu kama KMC kwa kumuogopa timu nyingine dhaifu kama ASAS, ungeweza kweli kutoana jasho na miamba hii kwa ratiba ngumu kama hii? Ila nasikia mganga wenu yuko jikoni amesharusha jini mikwaruzano huko Angola inayotishia kuiondoa Atletico Petroleos de Luanda ili Yanga ichukue nafasi yake.

R.I.P legend, mshindi wa kwanza wa African Ballon D'Or, Salif Keita.
Ujielewi mtani, ebu vua vazi lako la ushabiki alafu uzungumzie football in reality Yanga na simba kwa sasa ni nani ana kikosi bora?
 
Hivi mashabiki wa Simba huwa mnakula vyakula gani vinavyowapa utahira kiasi hiki?, Yaani unashangaa timu kucheza baada ya siku 4?. Utaratibu wakuomba mechi zisogezwe mbele ulianzia Simba wakawa na viporo Zaid ya 6....
 
Yanga wamekuwa na tabia ya kuomba mechi zao ziahirishwe pale wanapokuwa na mfululizo wa mechi . Ni juzi juzi tu hapa tulikuwa tunajadili ni kwa nini mechi ya Yanga vs KMC iliahirishwa ilhali Yanga walikuwa wacheze na katimu kadogo ka ASAS Djibouti kwa mechi zote zilitakiwa kuchezwa Dar es Salaam wakati huo huo Simba akicheza uwanja wa Manungu, Morogoro halafu akarudi kucheza Dar es Salaam na Azam akicheza Dar akaenda kucheza Ethiopia.

Nimeiangalia ratiba ya AFL la kiukweli imebana saaana. Baada ya Simba kucheza mechi ya kwanza na Al Ahly, italazimika kusafiri na kurudiana nao baada ya siku nne tu. Kwenye nusu fainali nako ndiyo usiseme, mechi za marudiano ziko baada ya siku tatu tu. Kutoka mechi ya pili ya nusu fainali hadi mechi ya kwanza ya fainali ni siku 4 tu.

Kwa hiyo nawasihi uto washukuru kikombe hiki wamekiepuka. Kama ulimkimbia timu dhaifu kama KMC kwa kumuogopa timu nyingine dhaifu kama ASAS, ungeweza kweli kutoana jasho na miamba hii kwa ratiba ngumu kama hii? Ila nasikia mganga wenu yuko jikoni amesharusha jini mikwaruzano huko Angola inayotishia kuiondoa Atletico Petroleos de Luanda ili Yanga ichukue nafasi yake.

R.I.P legend, mshindi wa kwanza wa African Ballon D'Or, Salif Keita.
Mbona hakuna ratiba yoyote ya kuwabana?

Shughuri itamalizwa na Al Ahaly mechi moja Dar mechi ya Pili Cairo na mnakuwa mmeaga mashindano, hii ni mtoano hakuna ligi.
 
Yanga wamekuwa na tabia ya kuomba mechi zao ziahirishwe pale wanapokuwa na mfululizo wa mechi . Ni juzi juzi tu hapa tulikuwa tunajadili ni kwa nini mechi ya Yanga vs KMC iliahirishwa ilhali Yanga walikuwa wacheze na katimu kadogo ka ASAS Djibouti kwa mechi zote zilitakiwa kuchezwa Dar es Salaam wakati huo huo Simba akicheza uwanja wa Manungu, Morogoro halafu akarudi kucheza Dar es Salaam na Azam akicheza Dar akaenda kucheza Ethiopia.

Nimeiangalia ratiba ya AFL la kiukweli imebana saaana. Baada ya Simba kucheza mechi ya kwanza na Al Ahly, italazimika kusafiri na kurudiana nao baada ya siku nne tu. Kwenye nusu fainali nako ndiyo usiseme, mechi za marudiano ziko baada ya siku tatu tu. Kutoka mechi ya pili ya nusu fainali hadi mechi ya kwanza ya fainali ni siku 4 tu.

Kwa hiyo nawasihi uto washukuru kikombe hiki wamekiepuka. Kama ulimkimbia timu dhaifu kama KMC kwa kumuogopa timu nyingine dhaifu kama ASAS, ungeweza kweli kutoana jasho na miamba hii kwa ratiba ngumu kama hii? Ila nasikia mganga wenu yuko jikoni amesharusha jini mikwaruzano huko Angola inayotishia kuiondoa Atletico Petroleos de Luanda ili Yanga ichukue nafasi yake.

R.I.P legend, mshindi wa kwanza wa African Ballon D'Or, Salif Keita.
Kelele nyiingi, mechi yenyewe mnacheza Moja mnapigwa mnarudi kupambana na mashujaa.
 
Yanga ina uwezo wa kucheza mechi mbili kwa wakati mmoja, na kwenye viwanja viwili tofauti! Tofauti kabisa na timu yako ya simba inayowategemea akina Chama na Kibu Denis kwenye kila mechi.
 
Yanga ina uwezo wa kucheza mechi mbili kwa wakati mmoja, na kwenye viwanja viwili tofauti! Tofauti kabisa na timu yako ya simba inayowategemea akina Chama na Kibu Denis kwenye kila mechi.
Ujielewi mtani, ebu vua vazi lako la ushabiki alafu uzungumzie football in reality Yanga na simba kwa sasa ni nani ana kikosi bora?
Yanga ina kikosi kizuri ila sijui kwa nini mnaogopa mechi wakati ndiyo shughuli inayowaweka mjini
 
Hiki kombe Ni ubatili mtupu hapa caf wamezingua kwanini hio hela wasianzidha caf cL ya vijana under 20? Sasa hapo wanakuza Mpira au wanaongeza ufisadi kwenye sajili
Kila kitu kwa wakati wake pesa ipo mashindano ya vijana yanakuja. Ila Africa hii mashindano ya vijana hayana hamasa kabisa, niliangalia mechi zilizokuwa zinafanyika kule Algeria viwanja vilikuwa vitupu.
 
Yanga wamekuwa na tabia ya kuomba mechi zao ziahirishwe pale wanapokuwa na mfululizo wa mechi . Ni juzi juzi tu hapa tulikuwa tunajadili ni kwa nini mechi ya Yanga vs KMC iliahirishwa ilhali Yanga walikuwa wacheze na katimu kadogo ka ASAS Djibouti kwa mechi zote zilitakiwa kuchezwa Dar es Salaam wakati huo huo Simba akicheza uwanja wa Manungu, Morogoro halafu akarudi kucheza Dar es Salaam na Azam akicheza Dar akaenda kucheza Ethiopia.

Nimeiangalia ratiba ya AFL la kiukweli imebana saaana. Baada ya Simba kucheza mechi ya kwanza na Al Ahly, italazimika kusafiri na kurudiana nao baada ya siku nne tu. Kwenye nusu fainali nako ndiyo usiseme, mechi za marudiano ziko baada ya siku tatu tu. Kutoka mechi ya pili ya nusu fainali hadi mechi ya kwanza ya fainali ni siku 4 tu.

Kwa hiyo nawasihi uto washukuru kikombe hiki wamekiepuka. Kama ulimkimbia timu dhaifu kama KMC kwa kumuogopa timu nyingine dhaifu kama ASAS, ungeweza kweli kutoana jasho na miamba hii kwa ratiba ngumu kama hii? Ila nasikia mganga wenu yuko jikoni amesharusha jini mikwaruzano huko Angola inayotishia kuiondoa Atletico Petroleos de Luanda ili Yanga ichukue nafasi yake.

R.I.P legend, mshindi wa kwanza wa African Ballon D'Or, Salif Keita.
We kufa kimpango wako,ulishakichagua kikombe,we kinywe ti
 
Hivi mashabiki wa Simba huwa mnakula vyakula gani vinavyowapa utahira kiasi hiki?, Yaani unashangaa timu kucheza baada ya siku 4?. Utaratibu wakuomba mechi zisogezwe mbele ulianzia Simba wakawa na viporo Zaid ya 6....
Huyu bwege Nazi hajielewi
Simba ilikua inawekewa viporo mpaka vitano
Timu zote zinamaliza ligi anabaki Simba na mechi tano mkononi
Saa HV analeta nyenyenyeeee
 
Back
Top Bottom