ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kijana wa hovyo sana huyuKama mtibwa au timu zingine hazihusiki na thread yako isipokua yanga, basi ungetoa hizo timu zote ukaorodhesha tu miaka ambayo yanga alitwaa ubingwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana wa hovyo sana huyuKama mtibwa au timu zingine hazihusiki na thread yako isipokua yanga, basi ungetoa hizo timu zote ukaorodhesha tu miaka ambayo yanga alitwaa ubingwa.
Nimeweka references mpaka nimechoka mnaendelea kuuliza swali hilo tu.Hili swali sijui kwa nn hataki kulijibu. Mwaka 2000 Mtibwa ananyanyua kwapa tena juzi tu hapa watu wanakula mbunye na wako humu leo hii anataka kuifuta historia ya 2000!
Usipende kuongea tu bila referencesKijana wa hovyo sana huyu
Mkuu Venus Star, thread yako imenitafakarisha sana juu ya uwezo wa wakufikiri kwa baadhi ya wajinga wenzangu humu JF.Usipende kuongea tu bila references
Check comment yangu #163
Yanga sio mabingwa wa kihistoria (Simba yupo 22 na Yanga pia)
Kama mtibwa au timu zingine hazihusiki na thread yako isipokua yanga, basi ungetoa hizo timu zote ukaorodhesha tu miaka ambayo yanga alitwaa ubingwa.Kijana wa hovyo sana huyuwww.jamiiforums.com
Kuna mdau hapo juu kauliza kuhusu Mtibwa sugar amekataa kujibu hizo reference zinapotoshaMkuu Venus Star, thread yako imenitafakarisha sana juu ya uwezo wa wakufikiri kwa baadhi ya wajinga wenzangu humu JF.
1. Umejitahidi sana mpaka kuweka references, ambayo hata mimi mwenyewe mpaka sasa nimeshindwa kuelewa, kwanini kwenye Official website waandike mara 27, lakini ukihesabu miaka unakuta ni 22.!?
2. Watu tunakujibu kwa mihemko na kejeli, lakini hatusemi why , kwenye Official website kuna mapungufu kama hayo!?
3. Na kama kuna makosa kwanin Club isirekebishe kwa kuongeza miaka iliyokosekana kwenye orodha iliyo wekwa ili kuepuka sintofahamu kama hii.!?
Watu tunahangaika na kutoa kejeli sana, lakini ukweli tunashindwa kukujibu swali lako la msingi!.
Kiukweli umetushinda kwa hoja! labda kama kuna taarifa tofauti na zilizowekwa kwenye website juu ya kunyakua hilo taji la ligi kuu.
Wewe jamaa nitaongea mpaka nitachoka. Maana wewe huelewi umejikita kwenye ushabiki maandazi.Kuna mdau hapo juu kauliza kuhusu Mtibwa sugar amekataa kujibu hizo reference zinapotosha
ngoja nimuonyeshe mtu hiki kipande mkuu....😂Kwa hiyo yanga wamechagua namna yao ya kulitumia neno kihistoria kama comfort pale ambapo timu yao haifanyi vizuri
Kolos nyie mmekomaa na historia ya Yanga mkasahau mechi ya Mbeya.. 🤣😂😅🤣😂Wewe jamaa nitaongea mpaka nitachoka. Maana wewe huelewi umejikita kwenye ushabiki maandazi.
Ligi ya mwaka 2000 Yanga alichukua ubingwa.
Ligi ilikuwa inahusisha Bara na Visiwani.
Mtibwa alikuwa nafasi ya kwanza Bara lakini kwenye Championship alichukua Yanga.
Pitia hapa ligi yote na mechi zake.
Tanzania 2000
www.rsssf.com
Hii ni ligi mwanangu. Halafu kupoteza ni sehemu ya mchezo. Bado tuna meshi 19 mkononi.Kolos nyie mmekomaa na historia ya Yanga mkasahau mechi ya Mbeya.. 🤣😂😅🤣😂
mhh wametisha mnoLeo nimejaribu kufuatilia documents kila kona nimekuja kupata taarifa kuwa yanga yupo na makombe 22 ya ligi huku simba hapo awali alijulikana Sunderland naye yupo na makombe 22 ya ligi. Nashindwa kuelewa yanga anajiita bingwa wa kihistoria kwa kigezo kipi!?
RECORD HII HAPA
Dar es Salaam League
1944- Sunderland (Dar es Salaam)
1945 not known
1946 - Sunderland (Dar es Salaam)
1947-63 not known
1964 - Cosmopolitans (Dar es Salaam)
national (mainland) league
1965 - Sunderland (Dar es Salaam)
1966 - Sunderland (Dar es Salaam)
1967 - Cosmopolitans (Dar es Salaam)
1968 - Young Africans (Dar es Salaam)
1969 - Young Africans (Dar es Salaam)
1970 - Young Africans (Dar es Salaam)
1971 - Young Africans (Dar es Salaam)
1972 - Young Africans (Dar es Salaam)
1973 - Simba (Dar es Salaam)
1974 - Young Africans (Dar es Salaam)
1975 - Mseto Sports (Morogoro)
1976 - Simba (Dar es Salaam)
1977 - Simba (Dar es Salaam)
1978 - Simba (Dar es Salaam)
1979 - Simba (Dar es Salaam)
1980 - Simba (Dar es Salaam)
1981 - Young Africans (Dar es Salaam)
1982 - Pan African (Dar es Salaam)
1983 - Young Africans (Dar es Salaam)
1984 - KMKM (Zanzibar)
1985 - Tukuyu Stars(Rungwe)
1986 - Maji Maji (Songea)
1987 - Young Africans (Dar es Salaam)
1988 - African Sports (Tanga)
1989 - Malindi
1990 - Pamba (Shinyanga)
1991 - Young Africans (Dar es Salaam)
1992 - Malindi
1993 - Simba (Dar es Salaam)
1994 - Simba (Dar es Salaam)
1995 - Simba (Dar es Salaam)
1996 - Young Africans (Dar es Salaam)
1997 - Young Africans (Dar es Salaam)
1998 - Maji Maji (Songea)
1999 - Prisons (Mbeya)
2000 - Young Africans (Dar es Salaam)
2001 - Simba (Dar es Salaam)
2002 - Simba (Dar es Salaam)
2003 - not awarded (*)
Tanzania Mainland (Tanzania Bara)
2004 - Simba (Dar es Salaam)
2005 - Young Africans (Dar es Salaam)
2006 - Young Africans (Dar es Salaam)
2007 - Simba (Dar es Salaam) [mini-league]
2008 - Young Africans (Dar es Salaam)
2009 - Young Africans (Dar es Salaam)
2010 - Simba (Dar es Salaam)
2011 - Young Africans (Dar es Salaam)
2012 - Simba (Dar es Salaam)
2013 - Young Africans (Dar es Salaam)
2014 - Azam FC (Dar es Salaam)
2015 - Young Africans (Dar es Salaam)
2016 - Young Africans (Dar es Salaam)
2017 - Young Africans (Dar es Salaam)
2018 - Simba (Dar es Salaam)
2019 - Simba (Dar es Salaam)
2020 - Simba (Dar es Salaam)
2021 - Simba (Dar es Salaam)
2022 -
Kwa mujibu wa mbumbumbuHadi sasa Yanga kachukua Ubingwa mala 23.
Kwa mujibu wa Website ya Yanga, iangalie hapo juu.Kwa mujibu wa mbumbumbu