Yanga sio watani wa jadi tena, ni haters

Yanga sio watani wa jadi tena, ni haters

Yanga Ni Ya Kuipuuza Tu Msipoteze Muda Wetu
Genge La Wahuni Wachache Wanangoja Kuona Penati Ya Mapinduzi Inadondokea Wapi
 
Tunashindana. Na ndio maana tumebeba hilo kombe mara nyingi zaidi
Hatuwasemi mkuu ila tunashauri mchomoe mwiko nyuma tuweze kushindana kwenye ligi ya soka nchini. Mmekalia utopolo tu badala ya kujenga timu.

Tengenezeni timu ya ushindani ndani na nje ya nchi sio mnasajili kuifunga Simba pekee
 
Bado najioanga ninataka kuanzisha thread inayohusu miko mbalimbali duniani. Ninataka niongolee aina miko.
1. Mwiko wa kupakulia
2. Mwiko wa kuchotea
3. Mwiko wa kusongea
4. Mwiko wa kukorogea.

Nitaongelea miko mikubwa na midogo. Nitaongelea timu mbalimbali na miko yao. Je, hiyo miko wanaitumiaje!?
Nitaongelea miko mingine ya nyuma.

Basi najipanga kisawa sawa niongele vyema kabisa.
Yote hiyo unaipata pale UTOPOLONI kwa size tofauti na ukiwekewa unakula kiapo Daima mbele NYUMA MWIKO hakuna kutoa
 
Yanga kuchukua kombe lolote mbele ya Simba ni hadithi... utopolo maumivu yameanza rasmi
 
Chama hana baya morocco..kila kitu kiko wazi..mpira ni mchezo wa wazi,ngoja aingie uwanjani utopolo mrudi hapa..
 
Chama amekimbia benchi Morroco na si vinginevyo.

Nampongeza kwa hilo kwa kuokowa kipaji chake badala ya kuangalia pesa tu.

Hivi Gadiel Michael bado yupo Simba au alishatolewa kwa mkopo? Maana si kwa benchi mnalomuweka, ndio mambo aliyoyakimbia Chama.
Na alivyoondoka simba kwenda berkane nako alikimbia kukaa bench simba?.Ninavyojua mimi wachezaji kuhama vilabu ni jambo la kawaida itategemea na maslahi na mipango ya kocha.mambo mengine ni kukosa uelewa tu.Ndo maana hata yanga kuna makambo ambaye alishacheza yanga nasasa karudi yanga na anaanzia bench.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hayo maneno ndo utani wenyewe mkuu

Talaka Rejea
 
View attachment 2081847
Hawa Utopolo Simba ilipomuuza Chama walipiga domo sana,kwamba Simba imeuza mchezaji muhimu. Sasa limetokea la kutokea leo wanasema Chama amefulia ndo maana amerudi. Hawa ni haters, chuki za kichawi. Mchawi huwa anachukia bila sababu.

[emoji599]Moja ya sababu kubwa zaidi ukiachana na yeye kutoendana na maisha Berkane ilikuwa pia watoto wake kukaa nao mbali hakuwa tayari

[emoji599]Berkane walitaka kwenda kumpa Makazi Jijini Casablanca ambapo ilikuwa mwendo wa Masaa sita kutoka Berkane mpaka Casablanca hivyo bado aliona Kuna umbali Mkubwa

[emoji599]Berkane walifanya Kila kitu kumbakisha Triple C ila haikuwezekana na mara zote aliomba kuondoka na Simba ndio ilikuwa jibu lake

[emoji419]Kwa wanaoamini Chama ameisha basi mkumbuke kuwa mechi ya mwisho alikuwa Man of the match na kiwango bora sana ikiwa ni muda mchache baada ya kutoka kwenye majeraha.
Mashabiki wa Simba ni haters wa timu ya Yanga na wa Yanga haters wa timu Simba

Hivi vitu vipo,vilikuwepo na vitaendelea kuwepo...ukiwa shabiki wa timu yoyote kati ya hizo mbili we tayari ni nusu kichaaa,ni vile tu hamtaki kukubali ukweli kwamba nyie wote ni nusu vichaa
 
Chama ni mchezaji mzuri kwa simba na yanga, kuna mchezaji anaitwa Denis Onyango huyu ni mzuri kwa simba na ni mbaya kwa yanga, amekua na madhara sana kwa yanga zinapokutana hizi timu mbili.

Katika mechi zote simba ilipocheza na yanga, Chama ameleta madhara kwenye mechi moja tu iliyokua ya FA.
 
Na alivyoondoka simba kwenda berkane nako alikimbia kukaa bench simba?.Ninavyojua mimi wachezaji kuhama vilabu ni jambo la kawaida itategemea na maslahi na mipango ya kocha.mambo mengine ni kukosa uelewa tu.Ndo maana hata yanga kuna makambo ambaye alishacheza yanga nasasa karudi yanga na anaanzia bench.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
akijibu nitag
 
Ha

Pana siyo mtesi wa Yanga kwani wameshinda marangapi chama akiwemo?
images.jpeg

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom