Yanga timu mbovu haiwezi kushinda bila timu pinzani kupewa kadi nyekundu. Simba timu bora imeshinda bila nyekundu

Yanga timu mbovu haiwezi kushinda bila timu pinzani kupewa kadi nyekundu. Simba timu bora imeshinda bila nyekundu

Unaandika huku unaumia na kuliaa weeee. Pole sana wachaga wanasema na mbadoo!
 
Nina mashaka na timu yangu ya utopolo a.k.a nyuma mwiko a.k.a kayoko fc kwanini hatuwezi kushinda bila kadi nyekundu?

Mbona wenzetu simba wanashinda bila kadi nyekundu? Hivi kweli tunaweza kumfunga MC Alger au Al Hilal? Au Al Ahly au Esperance? Mi namchukia sana injinia wa mchongo Hersi kwa kuwahonga magoli kipa na marefarii.

Soma Pia: Yanga SC 2 - 0 JKT Tanzania | NBC Premierleague | Azam Complex | 22.10.2024
Kwahiyo YANGA walivyowabandua wale WANAWAKE 5-1..2-1..1-0..1-0 je? hao wanawake Sc walikuwa wana mapungufu ya wachezaji wao ?
 
Nina mashaka na timu yangu ya utopolo a.k.a nyuma mwiko a.k.a kayoko fc kwanini hatuwezi kushinda bila kadi nyekundu?

Mbona wenzetu simba wanashinda bila kadi nyekundu? Hivi kweli tunaweza kumfunga MC Alger au Al Hilal? Au Al Ahly au Esperance? Mi namchukia sana injinia wa mchongo Hersi kwa kuwahonga magoli kipa na marefarii.

Soma Pia: Yanga SC 2 - 0 JKT Tanzania | NBC Premierleague | Azam Complex | 22.10.2024
kwa uzi huu sina shaka hamtaama ligi ili yanga a.k.a pdidy la mpira ijifaidie kolo fc
 
Unafungwaje na tabora sasa?

Yanga timu mbovu

Tabora 3 yanga 1
Azam 1 yanga 0
 
Back
Top Bottom