Yanga tofautisheni kati ya Azam na Azam FC

Yanga tofautisheni kati ya Azam na Azam FC

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Nimewasikia wanachama na mashabiki wa Yanga wakihamasishana kususia bidhaa zote za Azam kulipiza vîtendo vya Azam fc kutumia nguvu ya fedha kurubuni wachezaji wake wake muhimu. Waliwataja akina Ngoma, domayo, chirwa, mbui, Ngassa na Sasa Faisal.

Sina uhakika kama Azam fc inapokea maagizo kutoka kwa Mzee bakhressa kwenye Soka au ni viongozi TU wa Azam fc wanaofanya hivyo.

Tatizo ni kwamba ukiikwepa bidhaa ya Azam utakutana na Ile ya mo. Tabu inabakia palepale. Ligi inaonyeshwa Azam tv TU baasi.

Dawa pekee ni:
1. Kuwalipa vizuri wachezaji
2. Kuangalia vizuri vifungu kwenye mikataba ya wachezaji wenu.
3. Kuwashitaki wote wanaowarubuni wachezaji wenu kinyume na utaratibu.

Kuvunja mkataba wa matangazo na kususia bidhaa kutawaumiza sio TU Azam bali hata Yanga na wapenzi wa Yanga wenye ajira Azam..
 
Nimewasikia wanachama na mashabiki wa Yanga wakihamasishana kususia bidhaa zote za Azam kulipiza vîtendo vya Azam fc kutumia nguvu ya fedha kurubuni wachezaji wake wake muhimu. Waliwataja akina Ngoma, domayo, chirwa, mbui, Ngassa na Sasa Faisal.

Sina uhakika kama Azam fc inapokea maagizo kutoka kwa Mzee bakhressa kwenye Soka au ni viongozi TU wa Azam fc wanaofanya hivyo.

Tatizo ni kwamba ukiikwepa bidhaa ya Azam utakutana na Ile ya mo. Tabu inabakia palepale. Ligi inaonyeshwa Azam tv TU baasi.

Dawa pekee ni:
1. Kuwalipa vizuri wachezaji
2. Kuangalia vizuri vifungu kwenye mikataba ya wachezaji wenu.
3. Kuwashitaki wote wanaowarubuni wachezaji wenu kinyume na utaratibu.

Kuvunja mkataba wa matangazo na kususia bidhaa kutawaumiza sio TU Azam bali hata Yanga na wapenzi wa Yanga wenye ajira Azam..
Binafsi natumia Dstv na Startimes, na ukiongelea bidhaa za Azzam ziko replaced na Azania group na Metl.

Likipita azimio la Boycott atakayeumia ni Azzam, Yanga inaweza kuvunja mkataba na Azzam kama watu wa Simba mnavyoona mkataba si lolote, tukasaini mkataba na Dstv.
 
Nimewasikia wanachama na mashabiki wa Yanga wakihamasishana kususia bidhaa zote za Azam kulipiza vîtendo vya Azam fc kutumia nguvu ya fedha kurubuni wachezaji wake wake muhimu. Waliwataja akina Ngoma, domayo, chirwa, mbui, Ngassa na Sasa Faisal.

Sina uhakika kama Azam fc inapokea maagizo kutoka kwa Mzee bakhressa kwenye Soka au ni viongozi TU wa Azam fc wanaofanya hivyo.

Tatizo ni kwamba ukiikwepa bidhaa ya Azam utakutana na Ile ya mo. Tabu inabakia palepale. Ligi inaonyeshwa Azam tv TU baasi.

Dawa pekee ni:
1. Kuwalipa vizuri wachezaji
2. Kuangalia vizuri vifungu kwenye mikataba ya wachezaji wenu.
3. Kuwashitaki wote wanaowarubuni wachezaji wenu kinyume na utaratibu.

Kuvunja mkataba wa matangazo na kususia bidhaa kutawaumiza sio TU Azam bali hata Yanga na wapenzi wa Yanga wenye ajira Azam..
kwa sasa hivi azam ni kama anatumwa na simba.
 
Huu ni ujinga usiojali maslahi ya mchezaji. Inawezekana yule Msemaji wao aliyesimamishwa ndio kawajaza huo upuuzi.

Kama analipwa fedha kidogo kwa nini asiende kutafuta malipo mazuri Azam?
 
Hawana jeuri hiyo hao mashabiki....Kama wanajeuri hiyo waache kuangalia mpira kupitia Azam media na wakumbuke mkataba wao na Azam unawapa pesa nyingi tu.... Bakhresa Yuko mbali Sana kibiashara kumhujumu biashara zake it's hard thing Sana.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimewasikia wanachama na mashabiki wa Yanga wakihamasishana kususia bidhaa zote za Azam kulipiza vîtendo vya Azam fc kutumia nguvu ya fedha kurubuni wachezaji wake wake muhimu. Waliwataja akina Ngoma, domayo, chirwa, mbui, Ngassa na Sasa Faisal.

Sina uhakika kama Azam fc inapokea maagizo kutoka kwa Mzee bakhressa kwenye Soka au ni viongozi TU wa Azam fc wanaofanya hivyo.

Tatizo ni kwamba ukiikwepa bidhaa ya Azam utakutana na Ile ya mo. Tabu inabakia palepale. Ligi inaonyeshwa Azam tv TU baasi.

Dawa pekee ni:
1. Kuwalipa vizuri wachezaji
2. Kuangalia vizuri vifungu kwenye mikataba ya wachezaji wenu.
3. Kuwashitaki wote wanaowarubuni wachezaji wenu kinyume na utaratibu.

Kuvunja mkataba wa matangazo na kususia bidhaa kutawaumiza sio TU Azam bali hata Yanga na wapenzi wa Yanga wenye ajira Azam..
Hawa vibwengo hata hawajitambui
 
wanajua gharama za kuvunja mkataba na njaa zao hao.Azam broduct unaikwepaje kwa sasa kuinunua,iyo chai ya hasubuhi waliyokunywa wanajua iyo sukari au ngano ya hivyo vitafunwa ni vya Azam au Mo?
 
Binafsi natumia Dstv na Startimes, na ukiongelea bidhaa za Azzam ziko replaced na Azania group na Metl.

Likipita azimio la Boycott atakayeumia ni Azzam, Yanga inaweza kuvunja mkataba na Azzam kama watu wa Simba mnavyoona mkataba si lolote, tukasaini mkataba na Dstv.
Mnazo hizo hela za kuvunja mkataba?
 
Nimewasikia wanachama na mashabiki wa Yanga wakihamasishana kususia bidhaa zote za Azam kulipiza vîtendo vya Azam fc kutumia nguvu ya fedha kurubuni wachezaji wake wake muhimu. Waliwataja akina Ngoma, domayo, chirwa, mbui, Ngassa na Sasa Faisal.

Sina uhakika kama Azam fc inapokea maagizo kutoka kwa Mzee bakhressa kwenye Soka au ni viongozi TU wa Azam fc wanaofanya hivyo.

Tatizo ni kwamba ukiikwepa bidhaa ya Azam utakutana na Ile ya mo. Tabu inabakia palepale. Ligi inaonyeshwa Azam tv TU baasi.

Dawa pekee ni:
1. Kuwalipa vizuri wachezaji
2. Kuangalia vizuri vifungu kwenye mikataba ya wachezaji wenu.
3. Kuwashitaki wote wanaowarubuni wachezaji wenu kinyume na utaratibu.

Kuvunja mkataba wa matangazo na kususia bidhaa kutawaumiza sio TU Azam bali hata Yanga na wapenzi wa Yanga wenye ajira Azam..
Mbwa Yanga pumbavu zao hawana jeuri hio wanajisahaulishq mengi ngoja tufukue makaburi yao. Watajuta
 
Huu ni ujinga usiojali maslahi ya mchezaji. Inawezekana yule Msemaji wao aliyesimamishwa ndio kawajaza huo upuuzi.

Kama analipwa fedha kidogo kwa nini asiende kutafuta malipo mazuri Azam?
Kaka lakini Ile sio ajira ya serikali, mishahara Yao haipangwi na tume ya utumishi bali kila mtu pale ana mkataba wake binafsi mliokubaliana pande mbili na kusaini kuwa umekubali na kuridhika, hivyo ndivyo mpira ulivyo, huwezi kuchungulia mshahara wa mwenzako katikati mwa ligi. Kama anayo madai angesubiri wakati wa kuongeza mkataba wake. Kwa hili Azam na Fei wamepepesa. Ubora na jitihada za mchezaji zitatafsiriwa mwisho wa mkataba wake wakati kuongeza mkataba sio katikati ya mkataba. Kuangalia Aziz Ki analipwa bei gani ni utoto uliokithili kwakuwa kila mtu anayo makubaliano yake na mwajili. Mshahara wa Mbappe hauzi kuwa sawa na Messi hata kama Kuna mmoja anaisadia timu kila mechi. Ni utoto na ujjinga
 
Huu ni ujinga usiojali maslahi ya mchezaji. Inawezekana yule Msemaji wao aliyesimamishwa ndio kawajaza huo upuuzi.

Kama analipwa fedha kidogo kwa nini asiende kutafuta malipo mazuri Azam?
Asubiri mkataba uishe, agome ku re-new. Kama ingekuwa rahisi hivyo basi Man United ingekuwa inakomba wachezaji wote wazuri wa timu ndogo kwenye ligi kwa kuwapa TU pesa za kuvunjia mikataba Yao.
 
Hawana jeuri hiyo hao mashabiki....Kama wanajeuri hiyo waache kuangalia mpira kupitia Azam media na wakumbuke mkataba wao na Azam unawapa pesa nyingi tu.... Bakhresa Yuko mbali Sana kibiashara kumhujumu biashara zake it's hard thing Sana.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Usiseme hivyo, watu wanaweza kuisusia bidhaa moja TU au 2 za kampuni. Mfano, Wanasema hatununui unga, au maji ya uhai au juice ya Azam. Au wakaachana na ving'amuzi vya Azam.
 
Unajisumbua tu hawa vinye fc hawana akili,hapo hata hawajakuelewa
 
Mnazo hizo hela za kuvunja mkataba?
Shida ya Azam fc wanazo pesa lakini hawana uongozi madhubuti wa mpira. Hata aende mchezaji na kocha gani pale matokeo yatabaki yaleyale. Akina Bocco, kapombe, Nyoni, Sure boy, manula walikuwa Azam lakini Azam ikabaki na matokeo yaleyale. Hata Fei akienda Azam kila mtu atamhurumia, atakuwa na pesa lakini sio heshima. Dube, Kipre, Bajana kama wangekuwa Simba au Yanga habari Yao ingekuwa kubwa sana.
 
Mbona wao walimchukua sure boy afu azam walikaa kimya tuu..au wamesahau mbona mapema hivi?
 
Shida ya Azam fc wanazo pesa lakini hawana uongozi madhubuti wa mpira. Hata aende mchezaji na kocha gani pale matokeo yatabaki yaleyale. Akina Bocco, kapombe, Nyoni, Sure boy, manula walikuwa Azam lakini Azam ikabaki na matokeo yaleyale. Hata Fei akienda Azam kila mtu atamhurumia, atakuwa na pesa lakini sio heshima. Dube, Kipre, Bajana kama wangekuwa Simba au Yanga habari Yao ingekuwa kubwa sana.
Sijakuuliza masuala ya uongozi wa mpila nilicho kuuliza mna hela za kuvunja mkataba na Azam?
 
Back
Top Bottom