Yanga tofautisheni kati ya Azam na Azam FC

Yanga tofautisheni kati ya Azam na Azam FC

Inafahamika kuwa bakhressa ni Simba. unaweza SEMA hii ni vita ya Yanga vs Simba + Azam. Bahati mbaya wote hawaelewi ni kwa vipi wanachapwa wote kwampogo, Last time walimchumua Morrison kwa kusaidiwa na mamlaka, wakati huu ni Faisal. Mwisho wa msimu utaona mambo makubwa. Watawataka kwa nguvu akina diara, Mayele, Aziz, Bangala, job, kibwana wawe wao,
Nadhani angalau tutumie busara kidogo tu, kwenye hili la Feisal Simba hawahusiki. Itoshe kuwa hivyo. Hapa tusifosi bifu.
Hili la Feisal libaki kuwa ni la Yanga na Azam Fc.
 
Mkuu, mkataba ni maridhiano ya pande mbili. Au unafikiri ukiitaka kampuni na yenyewe automatically inakutaka? Nani amekwambia DSTV wanapenda kufanya mkataba na Yanga? 😆😆😆
DStv ilishindana na Azam tv kwenye deal na Azam ikashinda. Sio kwamba DStv haipendi kutangazwa na Simba na Yanga hapa nchini.
 
Nadhani angalau tutumie busara kidogo tu, kwenye hili la Feisal Simba hawahusiki. Itoshe kuwa hivyo. Hapa tusifosi bifu.
Hili la Feisal libaki kuwa ni la Yanga na Azam Fc.
Wasiwasi ndio akili
 
Nimewasikia wanachama na mashabiki wa Yanga wakihamasishana kususia bidhaa zote za Azam kulipiza vîtendo vya Azam fc kutumia nguvu ya fedha kurubuni wachezaji wake wake muhimu. Waliwataja akina Ngoma, domayo, chirwa, mbui, Ngassa na Sasa Faisal.

Sina uhakika kama Azam fc inapokea maagizo kutoka kwa Mzee bakhressa kwenye Soka au ni viongozi TU wa Azam fc wanaofanya hivyo.

Tatizo ni kwamba ukiikwepa bidhaa ya Azam utakutana na Ile ya mo. Tabu inabakia palepale. Ligi inaonyeshwa Azam tv TU baasi.

Dawa pekee ni:
1. Kuwalipa vizuri wachezaji
2. Kuangalia vizuri vifungu kwenye mikataba ya wachezaji wenu.
3. Kuwashitaki wote wanaowarubuni wachezaji wenu kinyume na utaratibu.

Kuvunja mkataba wa matangazo na kususia bidhaa kutawaumiza sio TU Azam bali hata Yanga na wapenzi wa Yanga wenye ajira Azam..
Nilishawahi kusema wakati ule utopolo tukitembeza sana bakuli kwa aibu kuwa dawa ni moja tu GSM kwa kushirikiana na Yanga ikope benki ulaya au China ianzishe viwanda vya soda, maji baridi, juice, ice cream, unga wa ngano, unga wa sembe, sabuni za unga na kipande, cm za mkononi, boda boda, bajaj, vibiriti, lotion, perfume, viwembe, tshirts, saa , kofia, boksa, jeans nk na vyote viwe na Brand ya Yanga na GSM na Yanga itapata share 49 namimi mwenye wazo share yangu 1% ila hilo halikutekelezwa!

Yanga ni Brand kubwa Afrika na dunia ina mtaji mkubwa wa mashabiki millions of people!

Wanayanga kuanzia sasa hatuhitaji kabisa kutumia bidhaa za Azam au sijui Moo, tunawapa pesa zetu kupitia kutumia bidhaa zao na wao wanatumia pesa zetu kuvuruga timu yetu na hii inaitwa Weka, Tuweke ! Jino kwa jino, bampa to bampa, haina mba mba mba!

Yaani wanayanga sote tukivamia bidhaa za brand yetu hizo bidhaa za Mo wa Simba na Azam chali!!

Hivi Yanga hakuna matajiri wa kutumia Brand kupiga pesa wao na club?
 
Nilishawahi kusema wakati ule utopolo tukitembeza sana bakuli kwa aibu kuwa dawa ni moja tu GSM kwa kushirikiana na Yanga ikope benki ulaya au China ianzishe viwanda vya soda, maji baridi, juice, ice cream, unga wa ngano, unga wa sembe, sabuni za unga na kipande, cm za mkononi, boda boda, bajaj, vibiriti, lotion, perfume, viwembe, tshirts, saa , kofia, boksa, jeans nk na vyote viwe na Brand ya Yanga na GSM na Yanga itapata share 49 namimi mwenye wazo share yangu 1% ila hilo halikutekelezwa!

Yanga ni Brand kubwa Afrika na dunia ina mtaji mkubwa wa mashabiki millions of people!

Wanayanga kuanzia sasa hatuhitaji kabisa kutumia bidhaa za Azam au sijui Moo, tunawapa pesa zetu kupitia kutumia bidhaa zao na wao wanatumia pesa zetu kuvuruga timu yetu na hii inaitwa Weka, Tuweke ! Jino kwa jino, bampa to bampa, haina mba mba mba!

Yaani wanayanga sote tukivamia bidhaa za brand yetu hizo bidhaa za Mo wa Simba na Azam chali!!

Hivi Yanga hakuna matajiri wa kutumia Brand kupiga pesa wao na club?
Kuna timu duniani zenye viwanda?
 
Nilishawahi kusema wakati ule utopolo tukitembeza sana bakuli kwa aibu kuwa dawa ni moja tu GSM kwa kushirikiana na Yanga ikope benki ulaya au China ianzishe viwanda vya soda, maji baridi, juice, ice cream, unga wa ngano, unga wa sembe, sabuni za unga na kipande, cm za mkononi, boda boda, bajaj, vibiriti, lotion, perfume, viwembe, tshirts, saa , kofia, boksa, jeans nk na vyote viwe na Brand ya Yanga na GSM na Yanga itapata share 49 namimi mwenye wazo share yangu 1% ila hilo halikutekelezwa!

Yanga ni Brand kubwa Afrika na dunia ina mtaji mkubwa wa mashabiki millions of people!

Wanayanga kuanzia sasa hatuhitaji kabisa kutumia bidhaa za Azam au sijui Moo, tunawapa pesa zetu kupitia kutumia bidhaa zao na wao wanatumia pesa zetu kuvuruga timu yetu na hii inaitwa Weka, Tuweke ! Jino kwa jino, bampa to bampa, haina mba mba mba!

Yaani wanayanga sote tukivamia bidhaa za brand yetu hizo bidhaa za Mo wa Simba na Azam chali!!

Hivi Yanga hakuna matajiri wa kutumia Brand kupiga pesa wao na club?
Hahaha, Nadhani haya mambo tusiyachukulie poa. Leo nilikuwa kwenye duka moja, mteja kaja anataka maji 2 ya afya, muuzaji akampa maji ya masafi, jamaa akamwambia sitaki masafi, muuzaji akamwambia maji ya afya yapo ya moto TU ila masafi yapo ya baridi sana., jamaa akasisitiza kuwa apewe hayohayo ya afya hata kama ni ya moto. Nikacheka sana na wale waliokuwepo eneo lile. Jamaa mmoja akasema muuzaji ni mshabiki wa Simba, maji ya baridi ni masafi TU pale. Inaonekana yule mteja alikuwa Yanga.
 
Mbona wao walimchukua sure boy afu azam walikaa kimya tuu..au wamesahau mbona mapema hivi?
Kama Yanga walivunja kanuni kumpata Sure boy walipaswa kuathibiwa,

Sisi tunayo maswali 4 ya kuwauliza Yanga:
1. Je, mkataba wa Fei una kifungu kinachomruhusu kufanya alichofanya?
2. Pesa za kuvunjia mkataba kapewa na nani?
3. Pamoja na mambo yote haya, Je, Yanga bado wanaendelea kumlipa Fei mshahara hadi Sasa kama mchezaji wao?
4. Kama Fei amekosea kukaa nje ya Kambi kwa siku zote hizi bila ruksa, adhabu yake ni nini? Kama Ambundo na saido walipewa adhabu kwa kutoroka Kambi siku moja TU, je huyu atapewa adhabu ipi?
 
Binafsi natumia Dstv na Startimes, na ukiongelea bidhaa za Azzam ziko replaced na Azania group na Metl.

Likipita azimio la Boycott atakayeumia ni Azzam, Yanga inaweza kuvunja mkataba na Azzam kama watu wa Simba mnavyoona mkataba si lolote, tukasaini mkataba na Dstv.

Nilijua atakayeumia ni AZAM, kumbe ni Azzam? Basi sawa
 
Binafsi natumia Dstv na Startimes, na ukiongelea bidhaa za Azzam ziko replaced na Azania group na Metl.

Likipita azimio la Boycott atakayeumia ni Azzam, Yanga inaweza kuvunja mkataba na Azzam kama watu wa Simba mnavyoona mkataba si lolote, tukasaini mkataba na Dstv.

Az hawezi kuumia, ni kujidanganya. Na wala hakuna hiyo boycott. Ni upuuzi mtupu
 
Usiseme hivyo, watu wanaweza kuisusia bidhaa moja TU au 2 za kampuni. Mfano, Wanasema hatununui unga, au maji ya uhai au juice ya Azam. Au wakaachana na ving'amuzi vya Azam.

Hakuna kitu kama hicho. Wasusie tuone. Azam ana viwanda hadi South Africa, hao mambumbumbu fuata mkumbo hawana madhara, na wengi hufuata Mob Pyschology ambao ni utoto mtupu!
 
Kama Yanga walivunja kanuni kumpata Sure boy walipaswa kuathibiwa,

Sisi tunayo maswali 4 ya kuwauliza Yanga:
1. Je, mkataba wa Fei una kifungu kinachomruhusu kufanya alichofanya?
2. Pesa za kuvunjia mkataba kapewa na nani?
3. Pamoja na mambo yote haya, Je, Yanga bado wanaendelea kumlipa Fei mshahara hadi Sasa kama mchezaji wao?
4. Kama Fei amekosea kukaa nje ya Kambi kwa siku zote hizi bila ruksa, adhabu yake ni nini? Kama Ambundo na saido walipewa adhabu kwa kutoroka Kambi siku moja TU, je huyu atapewa adhabu ipi?
Fei ni mkubwa kuliko Yanga,na huu ndiyo ukweli wenyewe na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Az hawezi kuumia, ni kujidanganya. Na wala hakuna hiyo boycott. Ni upuuzi mtupu
Unajifariji, lakini Kuna matu akiyaona maji ya uhai anajisikia kichefuchefu. Mpira una mambo ya hovyo sana. Hata baba wa taifa alikuwa anaziogopa Simba na Yanga kwenye siasa zake, hakuwahi kuzijaribu hata siku moja.
 
Hakuna kitu kama hicho. Wasusie tuone. Azam ana viwanda hadi South Africa, hao mambumbumbu fuata mkumbo hawana madhara, na wengi hufuata Mob Pyschology ambao ni utoto mtupu!
Unaesema hivyo sio Azam, umeropola TU, hujui biashara zinavyofanyakazi. Biashara inathamini mteja mmoja mmoja.
 
Fei ni mkubwa kuliko Yanga,na huu ndiyo ukweli wenyewe na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Kilichomshusha Fei thamani na umuhimu ni Yanga kushinda mechi ya Azam bila uwepo wake. Ana bahati mbaya sana. Watu wanaendelea kumtaja kwasababu ya njia aliyoitumia isije ikaigwa na wachezaji wengine, baaaaasi.
 
Kilichomshusha Fei thamani na umuhimu ni Yanga kushinda mechi ya Azam bila uwepo wake. Ana bahati mbaya sana. Watu wanaendelea kumtaja kwasababu ya njia aliyoitumia isije ikaigwa na wachezaji wengine, baaaaasi.
Anarudi na mshahara anaongezewa kama anavyotaka na hataadhibiwa kwa utovu wa nidhamu aliofanya. Hili litaisumbua sana yanga kwani wazawa wote watakuwa na kamgomo baridi fulani hivi.
 
Unaijua vizuri SSB Group? Nyama ya nguruwe sili ila nakunywa mchuzi wake.
 
Back
Top Bottom