Yanga tofautisheni kati ya Azam na Azam FC

Unaijua vizuri SSB Group? Nyama ya nguruwe sili ila nakunywa mchuzi wake.
Ndio maana wewe ni maskini, Azam anakuhitaji kwenye biashara zake, hafokei mteja na hapendi kumpoteza mteja hata mmoja kwenye biashara zake. Kwaakili zako unadhani kuwa wateja anao wengi sana hakuhitaji wewe.
 
Ndio maana wewe ni maskini, Azam anakuhitaji kwenye biashara zake, hafokei mteja na hapendi kumpoteza mteja hata mmoja kwenye biashara zake. Kwaakili zako unadhani kuwa wateja anao wengi sana hakuhitaji wewe.
SSB hakwepeki mkuu usijidanganye ,SSB kama maji usipoyaoga utayanywa.
 
Ushabiki ukizidi unakua upopoma🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…