Yanga tukitolewa na hii club itakuwa aibu sana

Yanga tukitolewa na hii club itakuwa aibu sana

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Hawa ni Zalan FC ,wamekaa kiporipori ,tukitolewa sura zetu tutaziweka wapi?
20220825_165531.jpg
 
Aisee, mbona kama timu ambayo haina viwango vya kimataifa.
 
Simba walisema hivyo dhidi ya depungu textile ya Msumbiji yaani mafundi cherehani wa Msumbiji, hawakujifunza Wakaja wakakutana na Ud Songo Waka kalishwa. Mpinzani atakama unahisi ni kibonde usimchukulie poa, Fanya maandalizi ya kutosha.
Ata Yanga anafanikiwa ku mtandika Simba kwakua amchukulii poa atakama Simba ni kibonde wa Yanga tangu Karne ya 19.
 
Simba walisema hivyo dhidi ya depungu textile ya Msumbiji yaani mafundi cherehani wa Msumbiji, hawakujifunza Wakaja wakakutana na Ud Songo Waka kalishwa. Mpinzani atakama unahisi ni kibonde usimchukulie poa, Fanya maandalizi ya kutosha.
Ata Yanga anafanikiwa ku mtandika Simba kwakua amchukulii poa atakama Simba ni kibonde wa Yanga tangu Karne ya 19.
Hawa hata muonekano tu hamna timu hapo mshindwe wenyewe tu
 
Hawa jamaa watawashangaza yanga wakienda kindezi na dharau kama za kolo. Wanawaua hao. Kolo baada ya kuwapiga wale makhirikhiri tena kwao wakaja kwa mkapa wakala goal zikawa 3 wakajua wamemaliza kazi wakaanza kucheza kifaza, kilichowatokea muulize Da Rosa Gomez.

Yanga iandae timu, ifunge busta full mziki, mbungi ipigwe moto mwanzo mwisho. Hio ndo mbinu iliyowapa ubingwa last season. Waende kihuni sasa waone.
 
Mpira ni maandalizi hakuna timu ndogo kwani Sahare ya kitaa Tanga ilifanyaje Azam FA cup?
 
Back
Top Bottom