Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku kuwashwa na Yanga kutaisha lini?Hawa ni Zalan FC ,wamekaa kiporipori ,tukitolewa sura zetu tutaziweka wapi?View attachment 2334591
sawa. Tukutane uwanjani ndio mtajua mpira unachezwa instagram na jf ama niaje niajeAisee, mbona kama timu ambayo haina viwango vya kimataifa.
Al Hilal liked your post[emoji102].Sisi Nyasa Big Bullets tunasubiria tu kuanza safari ya kuja kumchinja mnyama huko Tanzania.
Mpira haujalisha wewe ni mporimpori au vipi kama unajua ni unajua tuHawa ni Zalan FC ,wamekaa kiporipori ,tukitolewa sura zetu tutaziweka wapi?View attachment 2334591
Mm nawaombea mema japo kimwonekano hawaonyeshi kuwa ni washindani. Utopolo si rafiki zangu.sawa. Tukutane uwanjani ndio mtajua mpira unachezwa instagram na jf ama niaje niaje
Nauli ya kuja wanayo! Ile ya kurudia na mahitaji yao mengine muhimu kama chakula, malazi, shopping pale Kariakoo, nk. tutawapatia.Hao jamaa wanayo nauli ya kuja kwa Mkapa kweli?
Ni kweli kabisa. Maana tumejipanga kuwatundika hata goli 11 ikibidi. Yanga ya sasa haina utani na watoto wadogo.Itakuwa aibu ya mwaka
Pamoja na yote hayo Utopwinyo hawana picha ya pamoja ya kikosi walau kama hii ya Zalan.Hawa ni Zalan FC ,wamekaa kiporipori ,tukitolewa sura zetu tutaziweka wapi?View attachment 2334591
Una mimba changaPamoja na yote hayo Utopwinyo hawana picha ya pamoja ya kikosi walau kama hii ya Zalan.
Mie nani nikubishie wewe mwenye uzoefu wa leba?Una mimba changa
Wewe umeshajifungua au bado unaburuza hilo tumbo lako?Una mimba changa
Tuliza wowowo basi wewe koloWewe umeshajifungua au bado unaburuza hilo tumbo lako?