Yanga tukubali kuwa tumefungwa, na ndio mpira, tusiwe na excuses

Yanga tukubali kuwa tumefungwa, na ndio mpira, tusiwe na excuses

Kwanini uamue wewe mashindano ya kumpima uwezo wa kocha? Kwanini hukuja na hoja ya ubora wa kocha kwenye mashindano ya klabu bingwa au ligi kuu? Kwanini hili Bonanza ndio likufanye upanue mdomo huku ukikazania kuwa wamekulala?

Klabu bingwa kafanya nini Kocha? Unless kama mwenzetu unaiona nafasi ya kutoboa makundi
 
Kitu pekeee nina chojua ni kuwa huu mpira wa mchaka mchaka uliopigwa leo SSC hawezi kukimbizana hivi. Hawana pumzi na ndjo maana tuliwalala tano.

Tumepambana sana lakini vimo vyetu pia vilikuwa ni tatizo. SSC angekula nyingi leo na hawa APR.

Excuses kuwa wachezaji fulani Hawapo ndio maana tumelalwa ni excuses ya kitoto, wachezaji wote wa Yanga tumesajili kwa uwezo wao na wanakula mshahara kila mwezi.

Wakati Yanga tunalalwa na ihefu, hao wachezaji hawakuwemo,? wakati tunakula tatu bila pale Algiers, hawakuwepo?

Tuache utoto na tuangalie kwa mapana, hata SSC hatotoboa Kesho.

Tusiwe kama mzee wa Objective alisema alikula tano kwa sababu kibu denga kaumia.

Hawa APR wangekuwa makini leo tungekula khamsa kwa moja. Vijana ni mapafu ya mbwa.
Marefa pia walikuwa upande wetu Ila hatujabebeka. Dakika 9 pia ilikuwa ni inside job but riziki haikuwa yetu.

Nina mashaka na ubora wa kocha.

Niweke wazi. Inawezekana hii yanga huwa inashinda kwa uwezo binafsi wa players but sio kwa mbinu za kocha. Tuchunguze hilo.

SSC tuliilala 5 sio kwa sababu sisi tulikuwa bora, ni kwasababu SSC ilikuwa ni mzoga upo upo unaosubiri kuoza.


Tuliangalie la kocha
KATENI RUFAA FIFA SABABU IWE UWANJA ULIJAA SANA WATAZAMAJI[emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Klabu bingwa kafanya nini Kocha? Unless kama mwenzetu unaiona nafasi ya kutoboa makundi
Sasa kwanini unaleta ngonjera, elezea kiufundi na kimbinu kocha anachemka wapi sio unaleta tu tarabu. Ukishindwa kuelezea basi hujui mpira unaongea kama mcheza rede tu.
 
Umeandika Mengi tu...... Mimi nikiri niliyoyashika hapo ni neno Unalolitumia ' Tumelalwa' ... ! Hili neno Litakuwa Linawakera Wenzio

Cha pili... Hawa Wachezaji wafupi inawezekana ni moja ya Sababu... Unawauzi wenzio wanapenda kusikia Wachezaji wote ni Ma tall.

Cha tatu ...Wote Wamesajiliwa na Mshahara Wanapata hivyo hakuna kisingizio cha Yanga B wala Yanga C,wenzio wanataka kusikia ile ni Yanga 'B'

Mimi sio mshabiki tu
Bali ni mwanachama Yanga. Maongezi yangu ni kuboresha timu na sio kupamba tu. Nikweli tumelalwa na mwishomwisho vijana wameonesha dharau snaa ya mpira

Ni kama Aden Rage anapoichana SSC, haimfanyi yeye kuwa sio SSC.
 
Sasa kwanini unaleta ngonjera, elezea kiufundi na kimbinu kocha anachemka wapi sio unaleta tu tarabu. Ukishindwa kuelezea basi hujui mpira unaongea kama mcheza rede tu.

Sasa unanililia mimi tena?
 
Kitu pekeee nina chojua ni kuwa huu mpira wa mchaka mchaka uliopigwa leo SSC hawezi kukimbizana hivi. Hawana pumzi na ndjo maana tuliwalala tano.

Tumepambana sana lakini vimo vyetu pia vilikuwa ni tatizo. SSC angekula nyingi leo na hawa APR.

Excuses kuwa wachezaji fulani Hawapo ndio maana tumelalwa ni excuses ya kitoto, wachezaji wote wa Yanga tumesajili kwa uwezo wao na wanakula mshahara kila mwezi.

Wakati Yanga tunalalwa na ihefu, hao wachezaji hawakuwemo,? wakati tunakula tatu bila pale Algiers, hawakuwepo?

Tuache utoto na tuangalie kwa mapana, hata SSC hatotoboa Kesho.

Tusiwe kama mzee wa Objective alisema alikula tano kwa sababu kibu denga kaumia.

Hawa APR wangekuwa makini leo tungekula khamsa kwa moja. Vijana ni mapafu ya mbwa.
Marefa pia walikuwa upande wetu Ila hatujabebeka. Dakika 9 pia ilikuwa ni inside job but riziki haikuwa yetu.

Nina mashaka na ubora wa kocha.

Niweke wazi. Inawezekana hii yanga huwa inashinda kwa uwezo binafsi wa players but sio kwa mbinu za kocha. Tuchunguze hilo.

SSC tuliilala 5 sio kwa sababu sisi tulikuwa bora, ni kwasababu SSC ilikuwa ni mzoga upo upo unaosubiri kuoza.


Tuliangalie la kocha
Acha bangi za kuvutia chooni ni mbaya sana, icho kikosi kimecheza pamoja kwa muda Gani mpaka wawe na muunganiko kucheza kitimu? Kocha katumia wachezaji mchanganyiko wa U20 na wakaa benchi huo muunganiko ungetokea ndani ya mechi 3?
 
Sasa kwanini unaleta ngonjera, elezea kiufundi na kimbinu kocha anachemka wapi sio unaleta tu tarabu. Ukishindwa kuelezea basi hujui mpira unaongea kama mcheza rede tu.

Kulikuwa hakuna sababu ya kuongeza dakika 9 , tuache ushabiki maandazi. Marefa walikuwa upande wetu
 
Haya njoo utudadavulie ni namna gani wachezaji wa Yanga hushinda kwa uwezo wao bila msaada wa kocha.
Stats za Gamondi kwenye mashindano rasmi
Ligi kapoteza mechi moja tu kashinda mechi 10
Klabu bingwa kapoteza mechi moja kati ya mechi sita
Kwenye ligi ni timu ya pili kwenye msimamo ikiwa na mechi mbili mkononi na magoli ya kutosha.

Je kwenye mbinu wewe unaona Gamondi anafeli wapi?
Na je unaona afanyeje upsnde wa kimbinu?
Sio kwavile unajua kutype tu ukajifanya unajua mpira.
Achana na kibwengo uyo, anaropoka tu Kama amekatika kichwa
 
Klabu bingwa kafanya nini Kocha? Unless kama mwenzetu unaiona nafasi ya kutoboa makundi
Umeniuliza kafanya nini kimataifa
1) kaiwezesha Yanga kucheza hatua ya makundi mara ya mwisho ilikuwa 1998
2) ameiwezeha Yanga kupata 5 na kushika nafasi ya pili kwenye msimamo, kama kungekuwa na umakini kwa mshika kibendera, Yanga wangekuwa na alama saba mpaka sasa na wangekuwa wanaongoza kundi. Ila bahati mbaya goli lililo halali likakataliwa.

Kuhusu nafasi ya kutoboa au kutoboa, wewe ni mpiga ramli?
 
Acha bangi za kuvutia chooni ni mbaya sana, icho kikosi kimecheza pamoja kwa muda Gani mpaka wawe na muunganiko kucheza kitimu? Kocha katumia wachezaji mchanganyiko wa U20 na wakaa benchi huo muunganiko ungetokea ndani ya mechi 3?

Iliyocheza ilikuwa ni Yanga Kamili, hakuna cha kikosi A wala B. Tuache umaandazi , Yanga tumefungwa na tumepambana tumeshindwa
 
Iliyocheza ilikuwa ni Yanga Kamili, hakuna cha kikosi A wala B. Tuache umaandazi , Yanga tumefungwa na tumepambana tumeshindwa
Sasa unasemaje gamond Hana mbinu? Unaujua mpira wewe ama umeujulia ukubwani
 
Kulikuwa hakuna sababu ya kuongeza dakika 9 , tuache ushabiki maandazi. Marefa walikuwa upande wetu
Kwahiyo hapo ndio umejadili mbinu za kocha? Hivi wewe mzima kweli kichwani? Unaambiwa toa maelezo kimbinu na kiufundi kocha alitakiwa afanye nini. Unakuja kuongelea dakika. Wewe kweli ni zumbukuku
 
Wewe Kama una tabia za kulalwa acha kuingiza kwenye upuuzi!!, Wewe endelea kulalwa sawa.
 
Sasa unasemaje gamond Hana mbinu? Unaujua mpira wewe ama umeujulia ukubwani

Hana mbinu wachezaji anao

Ukiona mtu anakuambia tumefungwa kwa sababu tunakikosi B , run the other way huyo ni kichaa

Mchagua jembe si mkulima

Wakat ihefu anatulala, hawakuwepo?
 
Back
Top Bottom