ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Rejea uzi wa jana usiku hapa kuhusu kupendelewa mnyama na yanga kufanyiwa hujuma za wazi na uonevu,
Sasa mliokua mnapinga nadhani mmeona yaliyotokea mchezo wa leo dhidi ya polisi.na kile ndio nilichokimaanisha na kimetokea.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sasa mliokua mnapinga nadhani mmeona yaliyotokea mchezo wa leo dhidi ya polisi.na kile ndio nilichokimaanisha na kimetokea.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app