Yanga tumekosaje Ubingwa? Hongereni Watani, tumeona mabadiliko makubwa mliyoyafanya katika Soka lenu

Yanga tumekosaje Ubingwa? Hongereni Watani, tumeona mabadiliko makubwa mliyoyafanya katika Soka lenu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hili swali tuliambiwa tuwaulize GSM kama ikitokea tumekosa Ubingwa na ni kutokana na kikosi kikali ambacho Yanga tulisajili ukilinganisha na cha Simba chenye wachezaji Wazee. miaka karibia 4 Simba imekuwa na Kikosi cha wachezaji wazee sana. lakini inashangaza hawa ndo wanaokipatia matokeo wanayoyataka. waswahili wanasema "ISIYO KONGWE HAIVUSHI" sisi tumeeendelea kubaki na porojo na siasa za kimpira Simba wakiendelea kuibadilisha team yao kwenda na Mfumo wa Dunia kisoka. inawezekana hawajafika mwisho lakini allahamdulilah tunaona mafanikio makubwa.

Mimi nimekuwa mwanayanga ambaye kuna kipindi na kuwa mshabiki na kuna kipindi na kuwa mwanamichezo. leo nimemua kuwa mwanamichezo kuweka unafiki pembeni na kubaki na akili zangu timamu. mimi ni msomi wa kiwango kizuri. si haba kuwa na masters ya sheria. hivyo kuna kipindi nakataa kutumia sehemu nyingine ya kiungo kufikiria. narudi kwenye kiungo sahihi cha kutumika kufikiria. UBONGO. Simba walionesha na wanaendelea kuonesha Utulivu mkubwa sana katika soka.

Miaka ya nyuma mngesikia kuna vurugu na maneno kwa kufungwa na Yanga. miaka hii hiyo hali inaanza kutoweka. Simba wanasema kama walifungwa na T prisons ,walifungwa na Ruvu why iwe ajabu kufungwa na Yanga? na ni Simba hawa waliowafunga Al Ahly, AS Vita na Kazier Chiefs hapa DSM. sasa hawaoni kama Yanga ndiyo kipimo chao kwa kuwa Ruvu waliifunga Simba lakini je wana kitu gani zaidi ya ushindi huo?na je walipata points ngapi za ziada? wanasema hata wao wakiifunga yanga wanapata points ngapi za ziada?

Mimi nawaelewa simba wanajitoa kwenye kuwa washindani wa yanga. wanaangalia mbali zaidi. kuwa yanga ipo na team ambayo inastahil ia kushinda lakini pia simba kufungwa na yanga ni kama kufungwa na ruvu na tprisons. hu ndo mpira . huwezi sikia Liverpool wansherehekea kwa kumfunga Man United. Au Man City wanazunguka Mtaani kushangilia kumfunga Man United au kuna sherehe kubwa kwa Barca kumfunga Real Madrid. imebaki kuwa ni team zenye mashabiki wengi lakini wanaamini match ina matokeo matatu.

Nadhani kama simba pia itaweza pata msemaji msomi kwa ajili ya klabu itakuwa vyema na si huyu wa sasa ambaye wakati mwingine anaharibu image ya klabu. aendelee kuwa mchambaji wa yanga kama hiyo nafasi ni muhimu lakini apatikane mtu mwenye akili na uwezo mzuri kama magori huyu ni kichwa sana kwa kweli.

Niliwaambia wanayanga wenzangu simba wanaenda pole pole wakijua wanachofanya. wakati huo tukitamba kuwa ni unbeaten wimbo ambao ulikomeshwa na tukaanza kuvurugana. jamaa wamechukua kombe wakiwa na matches mbili mkononi. wameshazoea ubingwa. sisi tunashangilia kuifunga simba mpaka hii leo.
 
Mafanikio ya Simba huenda yakaisaidia sana Yanga. Kutambiana kwetu kunasaidia kuleta hamasa ya kufanya vizuri

Maana Yanga nao watalazimika kufanya usajili mzuri wa kuendana na level za Simba na kupelakea timu zetu zote zifanye vizuri kimataifa.

Si ajabu Simba na Yanga msimu ujao zikatinga Group's stage - CAF Club Champions
 
Yanga ubingwa bado sana,Simba tuna misimu mingine mitatu au zaidi ya kubebwa ubingwa.
Ubingwa wa Yanga umeshikiliwa na timu ndogo, akipata suluhu hapo basi anachukua ubingwa, Yanga kuifunga Simba ni kawaida, Yaani Simba si mpinzani wa Yanga.
 
Ubingwa wa Yanga umeshikiliwa na timu ndogo, akipata suluhu hapo basi anachukua ubingwa, Yanga kuifunga Simba ni kawaida, Yaani Simba si mpinzani wa Yanga.
Hakika Simba sio mpinzani wa Yanga,Simba imeanza rasmi upinzani wa jadi na timu zenye akili kubwa kama Al Ahly na wengeneo huko,enzi za upinzani na Utopolo zimekwisha.
 
Hakika Simba sio mpinzani wa Yanga,Simba imeanza rasmi upinzani wa jadi na timu zenye akili kubwa kama Al Ahly na wengeneo huko,enzi za upinzani na Utopolo zimekwisha.
Kuna vichekesho vingi sana, yaani Alhly aliyejaza vikombe vya Afrika kabatini awe na utani na Simba ambaye mafanikio yake ni robo fainali , tena ya corona??
 
Hili swali tuliambiwa tuwaulize GSM kama ikitokea tumekosa Ubingwa na ni kutokana na kikosi kikali ambacho Yanga tulisajili ukilinganisha na cha Simba chenye wachezaji Wazee. miaka karibia 4 Simba imekuwa na Kikosi cha wachezaji wazee sana. lakini inashangaza hawa ndo wanaokipatia matokeo wanayoyataka. waswahili wanasema "ISIYO KONGWE HAIVUSHI" sisi tumeeendelea kubaki na porojo na siasa za kimpira Simba wakiendelea kuibadilisha team yao kwenda na Mfumo wa Dunia kisoka. inawezekana hawajafika mwisho lakini allahamdulilah tunaona mafanikio makubwa.

Mimi nimekuwa mwanayanga ambaye kuna kipindi na kuwa mshabiki na kuna kipindi na kuwa mwanamichezo. leo nimemua kuwa mwanamichezo kuweka unafiki pembeni na kubaki na akili zangu timamu. mimi ni msomi wa kiwango kizuri. si haba kuwa na masters ya sheria. hivyo kuna kipindi nakataa kutumia sehemu nyingine ya kiungo kufikiria. narudi kwenye kiungo sahihi cha kutumika kufikiria. UBONGO. Simba walionesha na wanaendelea kuonesha Utulivu mkubwa sana katika soka.

Miaka ya nyuma mngesikia kuna vurugu na maneno kwa kufungwa na Yanga. miaka hii hiyo hali inaanza kutoweka. Simba wanasema kama walifungwa na T prisons ,walifungwa na Ruvu why iwe ajabu kufungwa na Yanga? na ni Simba hawa waliowafunga Al Ahly, AS Vita na Kazier Chiefs hapa DSM. sasa hawaoni kama Yanga ndiyo kipimo chao kwa kuwa Ruvu waliifunga Simba lakini je wana kitu gani zaidi ya ushindi huo?na je walipata points ngapi za ziada? wanasema hata wao wakiifunga yanga wanapata points ngapi za ziada?

Mimi nawaelewa simba wanajitoa kwenye kuwa washindani wa yanga. wanaangalia mbali zaidi. kuwa yanga ipo na team ambayo inastahil ia kushinda lakini pia simba kufungwa na yanga ni kama kufungwa na ruvu na tprisons. hu ndo mpira . huwezi sikia Liverpool wansherehekea kwa kumfunga Man United. Au Man City wanazunguka Mtaani kushangilia kumfunga Man United au kuna sherehe kubwa kwa Barca kumfunga Real Madrid. imebaki kuwa ni team zenye mashabiki wengi lakini wanaamini match ina matokeo matatu.

Nadhani kama simba pia itaweza pata msemaji msomi kwa ajili ya klabu itakuwa vyema na si huyu wa sasa ambaye wakati mwingine anaharibu image ya klabu. aendelee kuwa mchambaji wa yanga kama hiyo nafasi ni muhimu lakini apatikane mtu mwenye akili na uwezo mzuri kama magori huyu ni kichwa sana kwa kweli.

Niliwaambia wanayanga wenzangu simba wanaenda pole pole wakijua wanachofanya. wakati huo tukitamba kuwa ni unbeaten wimbo ambao ulikomeshwa na tukaanza kuvurugana. jamaa wamechukua kombe wakiwa na matches mbili mkononi. wameshazoea ubingwa. sisi tunashangilia kuifunga simba mpaka hii leo.
Wewe huna tofauti na unaowashutumu, malengo yalikuwa ubingwa ila hatukufanikiwa tukawa wa pili, siyo mbaya so far tulipoteza game mbili pekee. Yanga ilipitia kipindi kigumu kidogo kwa miaka minne mpaka mitano, kulikuwa hakuna mafungu ya kutosha na ndio maana tulishindwa kuwalipa baadhi ya wachezaji wazuri tuliokuwa nao ndio maana wengine waliondoka.
Kwa sasa hali ni tofauti, pesa ipo tunahitaji kupata washambuliaji wazuri, hakuna cha zaidi.
Simba hii imejengwa kwa muda kidogo na kwa fedha nyingi kidogo. Hawana mafanikio ya kujisifu ila angalau wamekuwa na consistency kidogo. Usisahau midomo yao kabla ya ile waliamini wao ni bora sana, ila Yanga ilionyesha kuwa ni bora zaidi.
 
Wewe huna tofauti na unaowashutumu, malengo yalikuwa ubingwa ila hatukufanikiwa tukawa wa pili, siyo mbaya so far tulipoteza game mbili pekee. Yanga ilipitia kipindi kigumu kidogo kwa miaka minne mpaka mitano, kulikuwa hakuna mafungu ya kutosha na ndio maana tulishindwa kuwalipa baadhi ya wachezaji wazuri tuliokuwa nao ndio maana wengine waliondoka.
Kwa sasa hali ni tofauti, pesa ipo tunahitaji kupata washambuliaji wazuri, hakuna cha zaidi.
Simba hii imejengwa kwa muda kidogo na kwa fedha nyingi kidogo. Hawana mafanikio ya kujisifu ila angalau wamekuwa na consistency kidogo. Usisahau midomo yao kabla ya ile waliamini wao ni bora sana, ila Yanga ilionyesha kuwa ni bora zaidi.
Simba ni Bora si uongo. Kwani Ruvu ilimfunga Simba. Je hii ni bora kuliko Simba? Ipo nafasi ya ngapi?
 
Wewe huna tofauti na unaowashutumu, malengo yalikuwa ubingwa ila hatukufanikiwa tukawa wa pili, siyo mbaya so far tulipoteza game mbili pekee. Yanga ilipitia kipindi kigumu kidogo kwa miaka minne mpaka mitano, kulikuwa hakuna mafungu ya kutosha na ndio maana tulishindwa kuwalipa baadhi ya wachezaji wazuri tuliokuwa nao ndio maana wengine waliondoka.
Kwa sasa hali ni tofauti, pesa ipo tunahitaji kupata washambuliaji wazuri, hakuna cha zaidi.
Simba hii imejengwa kwa muda kidogo na kwa fedha nyingi kidogo. Hawana mafanikio ya kujisifu ila angalau wamekuwa na consistency kidogo. Usisahau midomo yao kabla ya ile waliamini wao ni bora sana, ila Yanga ilionyesha kuwa ni bora zaidi.
Tusiwe wachawi kukataa ukweli.
 
Kuna vichekesho vingi sana, yaani Alhly aliyejaza vikombe vya Afrika kabatini awe na utani na Simba ambaye mafanikio yake ni robo fainali , tena ya corona??
Acha kukalili toka nje ya box muda unayoyoma.
 
Hakika Simba sio mpinzani wa Yanga,Simba imeanza rasmi upinzani wa jadi na timu zenye akili kubwa kama Al Ahly na wengeneo huko,enzi za upinzani na Utopolo zimekwisha.
Simba ni kibonde wa Yanga dunia nzima inajua hilo, Yanga humuwezi unajipandisha level za Al ahly dah kweli vituko haviwezi isha
 
Back
Top Bottom