King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
Punguza jaziba BP isije kwibukia kwa roho ya korosho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Najua umeandika zaidi ya mara tatu umefuta ili kutafuta namna ya kuzikataa picha zilizowaumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza jaziba BP isije kwibukia kwa roho ya korosho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Punguza ujinga wewe uwanja wa mkapa unauwezo wa kubeba watu milioni moja?na haya hivyo sio dar sinauzwa jenzi mzeeNjoo huku Uwanjani ushuhudie jezi milioni
Umeanza lini kufuatilia soka?! Ingekuwa watu wananunua jezi exclusively kwa ajili ya kuvaa uwanjani basi jezi za timu za nje zisingeuzika! Hivi hata Makorokoro FC wanapocheza, unataka kusema wote wanaoingia uwanjani wanakuwa wamevaa jezi zenye picha za Da Barbara?! Ina maana hujui kuna Makorokoro kibao wanakuwa mtaani na hawajawahi kuingia taifa lakini bado wamenunua jezi!
60,000/1,000,000×100%=6%Kwani umeambiwa jezi hizo 1m zimeuzwa Dar?au ni TANZANIA nzima?kwani unadhani kununua jezi ndio sababu ya mtu kwenda uwanjani?
Kwahiyo wanaonunua jezi wote wanaenda kuangalia mpira?Mutabadilisha kila maneno lakini hakuna Mtu anayeweza Kununua Jezi mpya halafu siku ya Wananchi au Simba Day akaiwacha Nyumbani. Never! Kilichoonekana Jana ndiyo kielelezo cha Uhalisia. Umesikia Utoboy?
Wapi nimeandika uwanja Una beba watu Milioni moja we Sukule? Mmesema jezi Milioni ziliuzwa Ndani ya masaa 6 SASA mbna hata Uwanjani hatuoni hizo jezi, uwanja Una beba watu elfu 60 na usher we Sukule.Punguza ujinga wewe uwanja wa mkapa unauwezo wa kubeba watu milioni moja?na haya hivyo sio dar sinauzwa jenzi mzee
Kweli kabisa mkuu...60,000/1,000,000×100%=6%
Assumption:All factors are kept constant.
Kwa hio 6% iliyohudhuria Jana pale Taifa ilishindwa hata kuvaa jezi angalau kwa 3% tu,yaani watu 30,000.
Mwambie huyo Sukule Sisi tunaongelea uhalisia uliokuwa Uwanjani bila chenga...Umekimbilia kutaja Bukoba kwasababu umeona sio wengi tunaoishi Bukoba sio? Wahaya bhana!
[emoji3]Najua umeandika zaidi ya mara tatu umefuta ili kutafuta namna ya kuzikataa picha zilizowaumbua
Mwanza ipi hiyo unayoisema?We! We!We! Muogope Mungu! Hiyo habari mliileta wenyewe kuwa Ndani ya masaa 6, zilikuwa nchi nzima, SASA Kule Mwanza Hadi Jana zilikuwa hazijafika
Acha uongo weweAcha uongo, Mwanza jiji hata Duka la kuuzia hizo jezi halipo, watu wanazisubir bado, labda mikoa ya Dar
Nimesema walioingia Uwanjani, ambao Una beba elfu 60, ni Asilimia 5 tu ndo Wana JeziKama asilimia 5 ni sawa maaana. 5/100X1000,000=50,000 na capacity ya uwanja ni 60.000 kwa hyo pungufu ni 10,000
Wamejitahid mechi ya Wanigeria watavaa wote
Kwahiyo wanaonunua jezi wote wanaenda kuangalia mpira?
Punguza ujinga wewe uwanja wa mkapa unauwezo wa kubeba watu milioni moja?na haya hivyo sio dar sinauzwa jenzi mzee
Sasa inashindikana nini kwani wote walonunua jezi wana access ya kufika uwanja Wa taifa? Nje ya Dar jezi zimeuzwa nyingi tu
Wameuza nchi nzima sio dar tu.Mlikuwa mnamdanganya Nani?
Vaeni hizo jezi Milioni moja SASA mlizonunua, Asilimia kubwa mmevaa Old model, au walionunua jezi hawajaja Uwanjani?
Wamenunua jezi halafu wakaziacha nyumbni, hlf wakaamua kuvaa za zamani?