Yanga tumrudishe Zahera kikosini

Alishanyea kambi huyo! hivyo hatokuja tena kupata nafasi katika maisha yake, ya kuja kuifundisha timu ya Wananchi.
 
Kwani hii Yanga ni yanani kwa sasa? acha pumba
 
National team ya taifa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado nasisitiza, Yanga mrudisheni Zahera kikosini mtapata matokeo, GSM zingatia hilo
 
We Mikia mchukueni nyie maana kishingo hasomeki.
Na hela zote hizi za GSM Zahera angetoa matokeo, niamini mm. Hivi uongozi wa Msolla utajivunia nn? Hata Yale mabadiliko yanasuasua
 
yaani mwinyi zahera alikuwa bonge la tapeli na kanjanja, huku akiwa kocha wetu aliwauzia 'ramani' zetu nyingi tuu simba ambazo nyingine adi leo zinatu cost, ebu tafuta interview ya beki kisiki Lamine Mo jinsi Zahera alivyo mtoa Zambia, kisha akamfikishia Simba kwanza kwenye majaribio simba walivyo mkataa akamleta ndiyo akamleta yanga tena akimshauri asaini mkataba mfupi, mengine huwa tunayaacha chini ya kapeti ……………..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…