OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Ngoja tuone itakuajeBahati nzuri na Mbaya sana kocha wa yanga ataenda na Back 3
Job.
Mwamnyeto na
Baka.
Kama akienda na hawa watu maana yake yanga atakuwa salama kiulinzi.
Ila akiwaacha hawa mabeki yanga watafungwa mengi hasa mioira ya kichwa ngoma, kanute na Inonga..
Kama kocha ataenda na Back 3 maana yake pakome au Yao yao mmoja lazima akosekane..
KUPANGA NI KUCHAGUA.
AZIZ KI ni threat sana kwa SIMBAAzam walimkamia MAX na PACOME hawakujua muuaji ni mdunguaji AZIZ KI kilichowakuta mnakijua, juzi mlivyocheza na ihefu jasusi GAMOND na benchi lake la ufundi walikuwepo uwanjani kta mkapa. Awamu hii ni mwendo wa kukamua tu triger ko mkae kwa kutulia. Uzi tayari.
Simba imecheza na akina Kahraba na Perci Tau bila kuwakamia, eti omkamie Nzengeli? Mfumo utawakamia, wote watabadilika kuwa wakabajiAzam walimkamia MAX na PACOME hawakujua muuaji ni mdunguaji AZIZ KI kilichowakuta mnakijua, juzi mlivyocheza na ihefu jasusi GAMOND na benchi lake la ufundi walikuwepo uwanjani kta mkapa.
Awamu hii ni mwendo wa kukamua tu triger ko mkae kwa kutulia. Uzi tayari.
Huyo Njegele, Aziza na Pocono kule Tanga wakati Utopolo anapokonywa Ngao ya JAMII hawakuwepo?? Wewe huujui Mpira unaongea kishabiki. Jumapili sio mbali subir uone burudani.Azam walimkamia MAX na PACOME hawakujua muuaji ni mdunguaji AZIZ KI kilichowakuta mnakijua, juzi mlivyocheza na ihefu jasusi GAMOND na benchi lake la ufundi walikuwepo uwanjani kta mkapa.
Awamu hii ni mwendo wa kukamua tu triger ko mkae kwa kutulia. Uzi tayari.
Huyo bingwa wa afrika alitafunwa kimoja na usm alger ambayo yanga alimfunga kwaoKwa Sasa Simba haogopi mchezaji au timu yoyote afrika, tumetoka kucheza na bingwa wa Afrika hao wengine inabidi wao watuhofie.
Ungekuwa unaujua mpira na pia ungekuwa mstaarabu usingewaita wenzio majina ya kejeliHuyo Njegele, Aziza na Pocono kule Tanga wakati Utopolo anapokonywa Ngao ya JAMII hawakuwepo?? Wewe huujui Mpira unaongea kishabiki. Jumapili sio mbali subir uone burudani.
Ukiacha kupiga faulo na kupiga shuti kipi Azizi anasaidia kwa timu cha ziada kuanzia kutoa pass saidizi za magoli au kutengeneza nafasi?AZIZ KI ni threat sana kwa SIMBA
Huko Tanga mlishinda Ngapi? Vp mlipata hata Shots on Target? Au unajitoa akili tu?Huyo Njegele, Aziza na Pocono kule Tanga wakati Utopolo anapokonywa Ngao ya JAMII hawakuwepo?? Wewe huujui Mpira unaongea kishabiki. Jumapili sio mbali subir uone burudani.
Assist za magoli ya Mayele alitoaga nani? Kule Tanga bila mbeleko ya refa kukataa goli mbili mngeponaje?Ukiacha kupiga faulo na kupiga shuti kipi Azizi anasaidia kwa timu cha ziada kuanzia kutoa pass saidizi za magoli au kutengeneza nafasi?
Goli halikataliwiAssist za magoli ya Mayele alitoaga nani? Kule Tanga bila mbeleko ya refa kukataa goli mbili mngeponaje?
Simba imecheza na akina Kahraba na Perci Tau bila kuwakamia, eti omkamie Nzengeli? Mfumo utawakamia, wote watabadilika kuwa
Washndwe kukamiwa akina perc tau aje kukamiwa eti max,,,kwani tanga hao si walikuwepo walifanya nin zaidi ya kuzungusha shanga uwanjaniAzam walimkamia MAX na PACOME hawakujua muuaji ni mdunguaji AZIZ KI kilichowakuta mnakijua, juzi mlivyocheza na ihefu jasusi GAMOND na benchi lake la ufundi walikuwepo uwanjani kta mkapa.
Awamu hii ni mwendo wa kukamua tu triger ko mkae kwa kutulia. Uzi tayari.
Na huyo huyo USM almuweka yanga chuma mbili yanga akiwa kwakeHuyo bingwa wa afrika alitafunwa kimoja na usm alger ambayo yanga alimfunga kwao
Na jumapil tunawaweka tena mkimbilie kwenye mbeleko🤣🤣Assist za magoli ya Mayele alitoaga nani? Kule Tanga bila mbeleko ya refa kukataa goli mbili mngeponaje?
Haya nyie mlioshinda mlipewa kombe🤣🤣🤣😜Huko Tanga mlishinda Ngapi? Vp mlipata hata Shots on Target? Au unajitoa akili tu?
Hizo set pieces na shot on target ni threat tosha kwa timu pinzani, waulize makipa wa ligikuu shughuli yakeUkiacha kupiga faulo na kupiga shuti kipi Azizi anasaidia kwa timu cha ziada kuanzia kutoa pass saidizi za magoli au kutengeneza nafasi?
Kwa mkapa ilikuwa 2 kwa 1 na kwao akala 1 jumla ikawa 2 kwa 2 na hakuna rekodi inayopendeza kama kumtia mwarabu kwaoNa huyo huyo USM almuweka yanga chuma mbili yanga akiwa kwake