OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Azam walimkamia MAX na PACOME hawakujua muuaji ni mdunguaji AZIZ KI kilichowakuta mnakijua, juzi mlivyocheza na ihefu jasusi GAMOND na benchi lake la ufundi walikuwepo uwanjani kta mkapa.
Awamu hii ni mwendo wa kukamua tu triger ko mkae kwa kutulia. Uzi tayari.
Awamu hii ni mwendo wa kukamua tu triger ko mkae kwa kutulia. Uzi tayari.