Yanga tunahitaji namba 9

Yote 9 Ila yule Yao watani mmepata mtu
Tuone kapombe new challenge hii


Hakuna mchezaji pale.

Yanga Huwa wanafananisha sana


1.Azizi ki na chama.. wameshindwa.

2. FEISAL na chama ... Wameshindwa.

3.JUMA Shaban na Kapombe.. wameshindwa.

4. Lomalisa na shabalala wameshindwa...

5. Son utasikia Max na chama.

UTOPOLO PUMEFU SANA
 
Wewe ni mnafiki sana sasa hivi Mayele na Nabi wamekua wazuri baada ya kuondoka? nani asie jua chuki zako kwa Aziz Ki kesho aliondoka una badili maneno una tabia za kimalaya

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hafidh konkon ndio mbadala wa mayele,konkon na zouzoua ambaye ndie mvp wa msimu uliopita wa ligi ya ivory coast leo awakua sawa kiafya
 
Mayele na kibu 😀

Halafu acha kufananisha aziz ki na vitu vya kijinga
 
Kwamba angekua mayele ndio angefunga hizo nafas tulizokosa, hv mbona kila mtu ikitokea nafas anamtaja mayele mkumbuke mayele amefunga goal 17 tu kati ya 67 tulofunga msimu huu... Mayele alikua kipenz chetu ila magoli kakosa sana tu
 
Wewe ni mnafiki sana sasa hivi Mayele na Nabi wamekua wazuri baada ya kuondoka? nani asie jua chuki zako kwa Aziz Ki kesho aliondoka una badili maneno una tabia za kimalaya

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mkuu hao soon watapotea humu mitandaoni na ukiwaona basi ujue watakuja na lawama za marefa,kocha wao kwanini ampangi mchezaji flan,wataimba hadi kuimba kama walivyomuimba matola awaachie timu yao,hii ligi ndio ishaanza wataanza kutamba kipindi cha usajili msimu ujao na kolo day watajaa km wote hio ndio furaha yao
 
Tulieni,mechi moja tu mmeanza kukosoaaaa! Mpira unahitaji muda.
 
Pumbafu zako huna akili

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
yani wanafosi sana tuone kama bila mayele/nabi haiwezekani
mashabiki wa yanga tumesha move on kwanini wanafosi maumivu [emoji23][emoji23] ujue mi nawashangaa sana waty wa design hii
focus na waliopo mchezoni!! ila skuizi Yanga imekua lidude likubwa sana mana tukicheza tunachambuliwa hata wiki3 mfululizo utadhani hakuna timu zingine
 
Mayele yupo kwenye documentary kama mnataka mkamuone huko sisi tunafikiria yajayo zaidi kuliko yaliyopita
 
Tulia wewe!!
 
Wewe ni mnafiki sana sasa hivi Mayele na Nabi wamekua wazuri baada ya kuondoka? nani asie jua chuki zako kwa Aziz Ki kesho aliondoka una badili maneno una tabia za kimalaya

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Naamini hata ungenifuma nipo juu ya kifua cha mkeo usingeongea kwa jazba kama hapa ulivyoandika.

Una makasiriko ya kitoto hata wanawake hawapo hivyo, mpaka naanza kufikiria probably ushawahi fanyiwa ukatili angali mdogo so uko damaged mentality. If that case then you need immediately counseling.

Nishawahi kukupa rejea ya kauli ya Nabi akizungumza kuhusu ubovu wa Azizi Ki kama ambavyo mimi nasema ila kwasababu ubongo wako ushakuwa rotten hujawahi kum accuse Nabi kuwa anachuki na Azizi Ki.
 
Hakuna lugha rahisi kwa mtu mpumbavu na mbumbumbu kama wewe yaani siku ile Nabi kusema haja ridhishwa na form ya Aziz Ki ndio ndio umekukaa kama chupi! huko ukoloni wachezaji wenu hua wapo form kila siku? Ujuaji mwingi akili huna
N:b nikikufumania na mke wangu sheria ya mtaa unajiua sina haja ya kuku elezea

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nabi kamsema mara moja Azizi Ki?

Nabi kaanza kumsema Azizi Ki kuanzia kwenye game yenu na Rhino Rangers ambayo mlishinda 7.

Nabi alisema kwa sasa Azizi Ki ni mchezaji wa dakika 40 tu, zaidi ya hapo hafai kuendelea.

Tuje kwenye game yenu na Monastir napo Nabi alitoa kauli kuwa kuwa Azizi Ki sio mchezaji tegemezi na ndio maana anaanzia benchi. Na baadaye alimtetea kuwa anaendelea kumpa muda wa kuzidi ku recover.

Njoo kwenye game yenu na Bamako napo Nabi alisema Azizi Ki ameshuka ubora hivyo hapaswi kumtumia sana kwenye mfumo wake.

Na kwenye game hiyo hadi mchambuzi baada ya mechi aliendelea kusema Azizi Ki alikuwa kama msafiri tu ambaye hajui anaenda wapi

Nabi akisema madhaifu ya Azizi Ki unakausha kama huoni. Niseme mimi unaniita hater.

NB: if you caught me on top of your wife I can bend you too like matherfck rainbow
 
Huna tofauti na malaya wa kimkoka

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…