Achana nao mkuu, hawajitambui.Kwaiyo ulitaka yanga wasiendelee na mipango mingine bali wabaki kumuimba mayele tu? Mayele kaondoka na watakuja wengine waendelee alipoishia, kwani kabla ya mayele walipita washambuliaji wangapi wakali pale yanga? Je walipoondoka yanga ilikufa? Kabla ajaja yanga uyo mayele ulikuwa unamfahamu? Mambo mengine ayahitaji mjadala usiokuwa na kichwa wala miguu, Yanga alicheza FA akashinda bila mayele, Leo yanga kacheza ngao na kashinda bila mayele!! Unapataje nguvu ya kusema yanga bila mayele aiwezi kufanikiwa?
mama yangu anahusika nini hapa? Huwezi kuongea man to man mpaka ulete issue za kutukaniana wazazi?Bila malaya we ungezaliwa?
Au ndio umeamua kumtusi mamako?
Braza huyu jamaa akili ndogo sn (low iq).... achana nae, we're the winner of all time, hupaswi kubishana na wanyongemama yangu anahusika nini hapa? Huwezi kuongea man to man mpaka ulete issue za kutukaniana wazazi?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yanga inahitaji iangalie mtu kumpeleka pale mbele atakayekua anafanya final touches.Katika uangaliaji wa mpira leo nimegundua kwamba yanga hatuwezi kumreplace mayele kirahisi lakini tunahitaji namba 9 mmaliziaji
Huwezi kufuta legency ya mayele kirahisi ivi Musonda anapenda kuchukua mipira pembeni mara nyingi Yao na Lomalisa walikua wakipiga cross lakini ziliokoloewa na mabeki wa azam kirahisi eneo la umaliziaji lilikua lipo wazi kabsa
Tukimsubiri musonda awe topscorer kwa uchezaji huu sidhani kama atatufikisha tunapohitaji
Labda kwa vile hatujamuona Konkoni tukipata finisher mzuri akabadili nafasi za wing back kuwa magoli tutafunga goli nyingi msimu huu.
Max zengeli ni mchezaji mzuri sana lakini kwa nilivomuona anafiti kama namba 10 sio namba 7 maana kuna nafasi kama mbili au tatu kapata lakini mawazo yake ni kutoa pass sio kufunga mwalimu anahaja ya kuliona hilo pia.
Ngushi ana kitu lakini anapresha ya kuperform kitamgharimu sana.
Yao mtu sana uyu atatusaidia sana msimu huu ana kasi ya kupanda na kushuka na kupiga pass kwa mhusika kwa uhakika.
Tukutane mtani usikimbie fainali.
Sisi tunaangalia current perfomance ya mchezaji na sio kukariri jambo, Jana kacheza vizuri ndio maana tunampa credit na akikosea tutamkosoa maana mchezaji sio jiwe kusema ya kwamba awezi kubadilika na kurudi kwenye form yake, wewe unachokiongea ni kama vile Aziz ki sio mchezaji mzuri miaka yote kitu ambacho sio kweli, wachezaji nao uwa wanapitia kipindi kigumu kutokana na sababu mbalimbali but class yake aiondoki inabaki pale pale akirudi anarudi kweli sio masiharaNabi kamsema mara moja Azizi Ki?
Nabi kaanza kumsema Azizi Ki kuanzia kwenye game yenu na Rhino Rangers ambayo mlishinda 7.
Nabi alisema kwa sasa Azizi Ki ni mchezaji wa dakika 40 tu, zaidi ya hapo hafai kuendelea.
Tuje kwenye game yenu na Monastir napo Nabi alitoa kauli kuwa kuwa Azizi Ki sio mchezaji tegemezi na ndio maana anaanzia benchi. Na baadaye alimtetea kuwa anaendelea kumpa muda wa kuzidi ku recover.
Njoo kwenye game yenu na Bamako napo Nabi alisema Azizi Ki ameshuka ubora hivyo hapaswi kumtumia sana kwenye mfumo wake.
Na kwenye game hiyo hadi mchambuzi baada ya mechi aliendelea kusema Azizi Ki alikuwa kama msafiri tu ambaye hajui anaenda wapi
Nabi akisema madhaifu ya Azizi Ki unakausha kama huoni. Niseme mimi unaniita hater.
NB: if you caught me on top of your wife I can bend you too like matherfck rainbow
Huyo jamaa ni hater alianza na Mayele kila kitu anakosoa akaja kwa Aziz Ki hata afanye nini atatafta sababu aonekame mbovu sasa hivi amehamia kwa Skudu, na alivyo mnafiki eti leo anajifanya anawakubali Nabi na MayeleSisi tunaangalia current perfomance ya mchezaji na sio kukariri jambo, Jana kacheza vizuri ndio maana tunampa credit na akikosea tutamkosoa maana mchezaji sio jiwe kusema ya kwamba awezi kubadilika na kurudi kwenye form yake, wewe unachokiongea ni kama vile Aziz ki sio mchezaji mzuri miaka yote kitu ambacho sio kweli, wachezaji nao uwa wanapitia kipindi kigumu kutokana na sababu mbalimbali but class yake aiondoki inabaki pale pale akirudi anarudi kweli sio masihara
Makolo tunayajua hapa jf wala ayatusumbui na uyo tunamjua vizuri tu isipokuwa tunampunguzia mzigo wa maumivu kwa kumuelewesha kiungwana asije akajinyongaHuyo jamaa ni hater alianza na Mayele kila kitu anakosoa akaja kwa Aziz Ki hata afanye nini atatafta sababu aonekame mbovu sasa hivi amehamia kwa Skudu, na alivyo mnafiki eti leo anajifanya anawakubali Nabi na Mayele
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hafidh Konkon ni pure striker. Na kwa bahati mbaya bado hajaanza kucheza mpaka sasa. Hivyo kuwa na subira.Ndio maana nikasema kwa maoni yangu labda tukimuona Konkoni tunaweza kupata jibu
Mpria wa zamani sana huo na mtachelewa sana kwasababu mpira wa sasa viungo ndio wafungaji huo mpira wa kutegemea striker umepitwa na wakati.Katika uangaliaji wa mpira leo nimegundua kwamba yanga hatuwezi kumreplace mayele kirahisi lakini tunahitaji namba 9 mmaliziaji
Huwezi kufuta legency ya mayele kirahisi ivi Musonda anapenda kuchukua mipira pembeni mara nyingi Yao na Lomalisa walikua wakipiga cross lakini ziliokoloewa na mabeki wa azam kirahisi eneo la umaliziaji lilikua lipo wazi kabsa
Tukimsubiri musonda awe topscorer kwa uchezaji huu sidhani kama atatufikisha tunapohitaji
Labda kwa vile hatujamuona Konkoni tukipata finisher mzuri akabadili nafasi za wing back kuwa magoli tutafunga goli nyingi msimu huu.
Max zengeli ni mchezaji mzuri sana lakini kwa nilivomuona anafiti kama namba 10 sio namba 7 maana kuna nafasi kama mbili au tatu kapata lakini mawazo yake ni kutoa pass sio kufunga mwalimu anahaja ya kuliona hilo pia.
Ngushi ana kitu lakini anapresha ya kuperform kitamgharimu sana.
Yao mtu sana uyu atatusaidia sana msimu huu ana kasi ya kupanda na kushuka na kupiga pass kwa mhusika kwa uhakika.
Tukutane mtani usikimbie fainali.
It wasn't my intention kuandika vile na ndio maana after couple minutes nikai deletemama yangu anahusika nini hapa? Huwezi kuongea man to man mpaka ulete issue za kutukaniana wazazi?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Braza huyu jamaa akili ndogo sn (low iq).... achana nae, we're the winner of all time, hupaswi kubishana na wanyonge
hili tatizo kubwa sana yan, hatuna mmaliziaji, hawa wachezaji wa kibongo siyo wa kuwaamn, Leo atacheza vizuri kesho utamkataa, type Mzize, Ambundo, Ngushi nkKatika uangaliaji wa mpira leo nimegundua kwamba yanga hatuwezi kumreplace mayele kirahisi lakini tunahitaji namba 9 mmaliziaji
Huwezi kufuta legency ya mayele kirahisi ivi Musonda anapenda kuchukua mipira pembeni mara nyingi Yao na Lomalisa walikua wakipiga cross lakini ziliokoloewa na mabeki wa azam kirahisi eneo la umaliziaji lilikua lipo wazi kabsa
Tukimsubiri musonda awe topscorer kwa uchezaji huu sidhani kama atatufikisha tunapohitaji
Labda kwa vile hatujamuona Konkoni tukipata finisher mzuri akabadili nafasi za wing back kuwa magoli tutafunga goli nyingi msimu huu.
Max zengeli ni mchezaji mzuri sana lakini kwa nilivomuona anafiti kama namba 10 sio namba 7 maana kuna nafasi kama mbili au tatu kapata lakini mawazo yake ni kutoa pass sio kufunga mwalimu anahaja ya kuliona hilo pia.
Ngushi ana kitu lakini anapresha ya kuperform kitamgharimu sana.
Yao mtu sana uyu atatusaidia sana msimu huu ana kasi ya kupanda na kushuka na kupiga pass kwa mhusika kwa uhakika.
Tukutane mtani usikimbie fainali.
Mbele butu sana, tunamtegemea Aziz Ki tu yanYanga usajili mdogo inatakiwa iingie sokoni haraka iwezekanavyo