Yanga tunahujumiwa sana

Yanga tunahujumiwa sana

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mayele alipaswa awe ndo mfungaji bora. Inashangaza kabisa huyu George Mpole nani yupo nyuma yake? Ni hujuma zinafanyika ili ufungaji bora asipate Mayele.

Na ndiyo kisa cha TFF kutengeneza kombe baya ili tu tuchekwe.. hii yote ni sababu Karia ni Simba. Hizi ni hujuma. Kwa nini watufanyie hivi? Wanadhani tutakata tamaa. Hatupoi hatu boi. Tunadai haki ya ufungaji bora kwa mayele.

Hizi hujuma hazitawasaidia kitu hata kidogo.tutachukua makombe yote mpka mwaka 2050.
 
Naipenda Yanga ila nafurahi kiatu kuchukuliwa na Mpole kwa vile ni mmatumbi atasaidia Taifa stars. Si jambo la Mbolea kujenga wa jirani wakati wako wanateketea. Ligi inatakiwa kujenga Timu ya Taifa letu
 
Kampelekee viatu vyake bwana yule,hivi ndivyo alivyoandaliwa endapo angekuwa topuskola
IMG-20220629-WA0026.jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Hata wangetupa kopo Bado tungeshangilia maana tunashangilia ubingwa siyo kombe

Haloooo

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Mudi fc wamefurahi kweli Mayele kushindwa kuwa mfungaji bora! Yaani kwa sasa maumivu yote ya kuvuliwa na Yanga ubingwa wa ligi kuu, na ule wa kombe la shirikisho yamekwisha! Kwao habari ya mjini kwa sasa ni Mayele kushindwa kuwa mfungaji bora, na hiyo habari ya kombe!

Hawa jamaa walistahili kabisa kuitwa mbumbumbu! Maana wamesahau hata kama amekosa hiyo nafasi, lakini bado atabakia kuwa shujaa wa timu yake pale mbele.

Maana bado huwezi kumlinganisha Mayele na washambuliajia wao John Bocco, Meddie Kagere, Cris Mugalu na pia Kibu Denis.
 
kwani hukuona mechi ya kufunga pazia dhini ya mtibwa wachezaji wazawa wa yanga walivyo kuwa wanamnyima pasi mayele ili asifunge ilimradi 'mzalendo' mwenzao mpole awe mfungaji bora???
 
Kombe kama bolt iliyofungwa nati nusu
 
Naipenda Yanga ila nafurahi kiatu kuchukuliwa na Mpole kwa vile ni mmatumbi atasaidia Taifa stars. Si jambo la Mbolea kujenga wa jirani wakati wako wanateketea. Ligi inatakiwa kujenga Timu ya Taifa letu

Upo sahihi. Mayele alipaswa awepo misituni sambamba na hawa Wacongo wenzake ili aipambanie nchi yake dhidi ya wanamgambo wanaotorosha madini nchini kwao. Kila mtu awe mzalendo katika nchi yake. George Mpole awe mzalendo kwa kuisaidia Stars, na Mayele awe mzalendo kwa kulisaidia jeshi la Congo

1656571226372.png
 
Naipenda Yanga ila nafurahi kiatu kuchukuliwa na Mpole kwa vile ni mmatumbi atasaidia Taifa stars. Si jambo la Mbolea kujenga wa jirani wakati wako wanateketea. Ligi inatakiwa kujenga Timu ya Taifa letu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] meza panadol, utakufaa bureeeee.
Mpoleeeeee katuliza jiji, lipo kimyaaaaaaa.
 
Mudi fc wamefurahi kweli Mayele kushindwa kuwa mfungaji bora! Yaani kwa sasa maumivu yote ya kuvuliwa na Yanga ubingwa wa ligi kuu, na ule wa kombe la shirikisho yamekwisha! Kwao habari ya mjini kwa sasa ni Mayele kushindwa kuwa mfungaji bora, na hiyo habari ya kombe!

Hawa jamaa walistahili kabisa kuitwa mbumbumbu! Maana wamesahau hata kama amekosa hiyo nafasi, lakini bado atabakia kuwa shujaa wa timu yake pale mbele.

Maana bado huwezi kumlinganisha Mayele na washambuliajia wao John Bocco, Meddie Kagere, Cris Mugalu na pia Kibu Denis.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badoooo mbna unalia mapema hivi? Mwenzenu analalama huko hamumpi ushirikiano, weraaaaaaaah

Mwaka jana tulichukua makombe yote, na shirikisho tulichukua mbele yenu Kigoma au umesahau? Na tulitoa wafungaji wa 3, na MVP pia.

Record ya unbeaten Simba na Azam zilisha fanya zamani. Lipi jipyaa?
Kamuambie dada Fistonia aendelee kutikisa chuchu konziii, boss wake ataomba nnyaa, oooh woiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom